Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Kwahiyo Lutu sio Nabii kwa Mujibu wa Bible?

Unasema kioindi hicho ndugu walikuwa wanaingiliana/wanaoana ni sawa lakini ilikuwa sio kwa Baba Mzazi na Watoto wake wa kuwazaa.
Nimekuomba ushahidi kwamba lutu alikuwa nabii kibiblia.

Kama ndugu kuoana ilikuwa sawa kipindi kile kwanini ushangae hao? Kwani baba na watoto wake sio ndugu?
 
Wapo hawajatoweka, Moabu ndiyo Baba wa Wamoabi na Benami ndiye Baba wa Waamoni
 
Endelea kujifunza biblia shida ni kwamba unajifunza kwa lengo la kutafuta mapungufu.

Kitu ambacho utamaliza kuisoma ukibaki na ujinga wako.

#MaendeleoHayanaChama
Wanadokoa hawaanzi na shina ndiyo maana hawaelewi zaidi ya kuchanganyikiwa tu.
 
Makachu jibu huu uchafu wa muhamed na allah.
 
professional Driver uje umsaidie Makachu amekimbia uzi wake
 
Hakijakubaliwa ndio lakini kimefanyika na huyu bwana hana sifa za kinabii sasa wenzetu unabii huu mliompa sijui mmeutoa wapi
Sisi kwetu hakulala na Binti zake ndio mana ni Nabii
 
Lutu hakuwa nabii na hata kutengana na Ibrahimu alitengana na Ibrahimu in the first place kwa sababu ya tamaa na sio kwa sababu alitumwa Sodoma akahubiri.
Katika imani yangu mimi kumuhusu Lutu ni Nabii
 
Unaweka Aya za Mkato mkato, tengeneza uzi tukupopoe. Hapa tuko ndani ya Mada na hatusikilizi Uongo wako. Jibu Maswali ya Mada.
 
Lutu alikuwa mtumishi wa Mungu, tena aliyefundishwa na nabii Ibrahim, kwa hiyo akiwa nabii ni Sawa tu maana ni zao la nabii Ibrahim
Ila Wakristo wenzako wanakataa hakuwa Nabii
 
Tatizo kwenye Nyuzi zao wanatukana sana Uislamu.
 
Kuwa nabii haujakamilika, lakini sio kama tukio hilo lililotokea kwa Lutu.
 
Unaweka Aya za Mkato mkato, tengeneza uzi tukupopoe. Hapa tuko ndani ya Mada na hatusikilizi Uongo wako. Jibu Maswali ya Mada.
Nimekata na ku hit point, sio kujaza server , NDio maana nimeweka nukuu vizuri kabisa

Nimekujibu Kwenye biblia imeandika mpaka dhambi zilizofanyika na adhabu zake
Tofauti na Koran Muhammad anashushiwa Aya kumsapoti kufanya dhambi
 
Lutu kawa lini Nabii ? Au una mfananisha na ma Nabii wa sasa?
Hivi Manabii wa Sasa na Lutu nani ni zaidi?

Hivi hujui Lutu alitembelewa mpaka na Malaika? Manabii wa sasa wametembelewa na Malaika gsni?
 
Neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuuzi bali kwetu tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.

Wewe umeshapotea na na hutaki/ huna nia ya kuitafuta njia ya kweli kwa hyo HUWEZI KUIELEWA BIBLIA umepofushwa fikra ni mmoja kati ya watu wanaotazama lakini hawaoni, wanasikia lakini hawaelewi.
 
Kama ndugu kuoana ilikuwa sawa kipindi kile kwanini ushangae hao? Kwani baba na watoto wake sio ndugu?[/QUOTE]

Duuh! Hii Kufuru sasa
 
Kwako wewe umeshaona biblia haiko sawa achana nayo hujashikiwa fimbo uiamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…