Maandiko yanasema tumeumbwa kwa mfano wake,hivyo naamini kila umuonae machoni mwako ndie Mungu wako....

Maandiko yanasema tumeumbwa kwa mfano wake,hivyo naamini kila umuonae machoni mwako ndie Mungu wako....

Unavuta bangi ngapi kwa siku mkuu? Naomba unijibu mana swali langu ni mungu ameuliza kupitia mimi
 
Hahah upo sawa naamini ndie alieuliza ili tuelimishe jamii,nakujibu,kwanini Baadhi ya nchi za Ulaya,Na baadhi ya majimbo Marekani na hivi karubuni Afrika Kusini wameruhusu matumuzi yake kama dawa na kuvuta Kwa starehe,niliwahi ulizwa na profesa was udsm toka Marekani prf Strump kwamba is smoking a sin?nikashindwa kujibu baadae baada ya miaka nikagundua Mungu ndie huwawekea watu hamu ya vitu so is not bad
 
Back
Top Bottom