Maandishi kwenye gari yanafutwa vipi?

Maandishi kwenye gari yanafutwa vipi?

Asanteni sana kwa ushauri wana JF,nimeenda kwenye maduka ya spare wamenipa spray ina kama ml. 200,nimepulizia halafu baada ya dk5 nikafuta na cotton wool,yani inafutika vizuri sana japokuwa ina harufu mbaya sana.ASANTEN SANA MEMBERS.
 
Back
Top Bottom