Maandishi kwenye gari yanafutwa vipi?

Mwagia mafuta ya taa then washa moto...kua makini Kwenye kuzima ukishindwa wapigie fire nazani watafta kiufasaha zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Busara ni kitu cha bure. Usidhalilishe utu wako na wazazi waliokulea wakaonekana hawakukulea ipasavyo. Ni ushauri tu, jifunze kuwa na heshima na busara, nawe utaheshimiwa.
 
Asanteni sana kwa ushauri wana JF,nimeenda kwenye maduka ya spare wamenipa spray ina kama ml. 200,nimepulizia halafu baada ya dk5 nikafuta na cotton wool,yani inafutika vizuri sana japokuwa ina harufu mbaya sana.ASANTEN SANA MEMBERS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…