Maandishi ukutani

Kwa wasioelewa kunena Kwa lugha za Mbinguni wanenazo walokole,

Wajue kuwa mene mene tekel na peresi ni kuandika Kwa lugha ya Mbinguni.

Utasikia mlokole anarudia riririririririri, Unadhani anasema neno Hilo Hilo, kumbe anatamka vitu tofauti vingi na sentesi kamili Kwa codes Ili masikio msielewe Siri za Mbinguni.

Mene Mene- Tafsiri yake ni kuwa Ufalme wako umepimwa na umepunguka.

Lakini asomaye ukutani aliona maneno mawili tu mene mene na asielewe Kisha akatafuta mfasiri.

Ushauri: Ni muda muafaka, Wafalme wa Dunia kuwa na Manabii waliookoka Ikulu Ili kuwafungulia codes Wafalme ndoto waotazo, au waonapo maono Ili kuongoza Nchi Kwa ufasaha.

NB a uzuri ni kuwa, Danieli tayari yumo ndani ya palace.

Anyway,

HATOGOMBEA!!
 
Baada ya maneno Yale na tafsiri kutolewa,

Unabii Ule ulitimia usiku Ule Ule na Belshazzar yalimkuta ya kumkuta na shamba likaenda Kwa Jirani.

Sasa ni muhimu kuyaangalia haya mapema ,maana tathmini ya mgombea sahihi wa chama kile hufanyika mwishoni my wa mwaka huu.
 
Umesomeka mtumishi
NAMI nilifimuliwa na Nimeamdika humu, ya kuwa Kuna lidudu tangu 1961 baada uhuru na baada ya tambiko hili dude limekuwa likubwa mno limeshoba damu za watu Toka enzi, katika ulimwrngu huu wa mwili na nyama ni ngu kuliondoa au kuliua

Nimefunuliwa kuwa njia ya kuliondoa ni kuanza kiroho kwa watumishi wakiungana nchi nzima kufunga siku 40; huku wakiomba ndo njia ya kuliondosha


Ili matokea yaonekane kwenye ulimwrngu wa macho ya mwilini kwa kutishia kuandika katiba mpya then kuanguka kwenye uchaguzi huru

Nawasilisha
 
Hakuna linaloshindikana kwenye kijiji chenye Wazee na Taifa bora lenye msingi wa kikatiba na utawala wa sheria huthamini Utawala Bora na usalama wa Raia....Tuzungumze pamoja na kutafuta suluhisho endelevu la pamoja. Ni tarehe 5 Oktoba pale Ubungo plaza....Tusipozungumza kama wenye hekima tutaangamia kama wapumbavu
 
Hakuna linaloshindikana kwenye kijiji chenye Wazee na Taifa bora lenye msingi wa kikatiba na utawala wa sheria huthamini Utawala Bora na usalama wa Raia....Tuzungumze pamoja na kutafuta suluhisho endelevu la pamoja. Ni tarehe 5 Oktoba pale Ubungo plaza....Tusipozungumza kama wenye hekima tutaangamia kama wapumbavuView attachment 3112828
 
1.Unamteka mtoto wa kike kwa mtutu wa bunduki

2.Kundi la wanaume saba wakatili mnakubali kwenda kumteka, kumdalilisha, kumnyanyasa na kutweza utu wa mwanamke kwa ujira wa fedha?

3.Mnafunga kitambaa usoni mwanamke kisha mnamtoa nyumbani kwake Kibiti mnamsafirisha hadi mapori ya Kisarawe kwenda kumnyanyasa na kumfanyia ukatili

4.Mnajitambulisha kuwa ni maafisa wa chombo cha dola kisha mnatumia gari la kodi za wananchi, pingu na bunduki zilizonunuliwa kwa kodi zetu.

5.Mnachana nguo za mwanamke aliyefunzwa kujistiri kwa dini yake safi ya kiislamu tangu utotoni na kumuacha utupu.

6.Mwanamke mmoja anashirikiana na wanaume saba kumshambulia na kumdhalilisha mwanamke mwenzake kwa ujira wa pesa tu

7.Mmemaliza kumfanyia ukatili Mwanamke mnamtekeleza maporini mnaondoka na kujiona wajanja... mnajiona mmeyapatia maisha kweli.

8.Nawakumbusha yupo Mungu juu anayeona kila kitu muda wote na sehemu zote. Ipo siku kabla hamjazikwa na kufukiwa na udongo huu mnaotumia kumwaga damu, mtakumbushwa kila tukio moja mlilotenda.

9.Nawaonea huruma ninyi watekaji na wauaji, kwa kuwa najua hamjui watu makatili kama ninyi mwisho wenu unakuwaga vipi.

10.Lakini niwahakikishie akili za upinzani na harakati hazizimwi kwa mtutu wa bunduki na kufuli la Jela tulifikiri mmejifunza kwa Hayati Magufuli

Hamtoweza kuua watu wote,wapo watakaobaki nyuma yetu,wao watatulipia visasi vyetu.hilo mnatakiwa kulielewa siku zote.

Hakunaga Jambo linafanywa na watu zaidi ya wawili likabakia kuwa siri.
credit: Boni yai Twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…