Umekutana na wendawazimu tuu, huwezi fananisha mwanafunzi mwenyewe elimu ya chuo na mhitimu wa kidato cha nne wapo tofauti Sanaa..Hujaelewa mada?
Mitano tenaNa mi huwa bado najiuliza hadi mda huu,imekuwa ni kawaida mwanafunzi kumaliza la saba lkn hajui kusoma na kuandika!!!,na pili nini chapelekea siku hizi ufaulu unakuwa mkubwa na mwingi,,tofauti na enzi zetu miaka ya tisini!!?,mwenye kujua tafadhali anieleweshe.
Issue mimi nahisi ni jinsi mambo yalivyo rahisihishwa labda, ile process ya kujifunza hasaNa mi huwa bado najiuliza hadi mda huu,imekuwa ni kawaida mwanafunzi kumaliza la saba lkn hajui kusoma na kuandika!!!,na pili nini chapelekea siku hizi ufaulu unakuwa mkubwa na mwingi,,tofauti na enzi zetu miaka ya tisini!!?,mwenye kujua tafadhali anieleweshe.
Hiyo ndo globalization.Sijakulia miaka ya 90, ila ukweli zama hizi watu wana information nyingi bila maarifa...
Zamani unakutana mtu katoka chuo, kweli yuko confident na kile amesoma, ila siku hizi hadi form4 leaver hatofautiani na mwanachuo kabisa.
Je nini tatizo? Kwa experience watu wanamaliza chuo bila experience, ni vile tu GPA na coursework zilafanywa na chatgpt!!!
Je ni mifumo ya elimu? Utandawazi? Au ndo collapse ya educational systems? Na kama ni kweli tuvute picha miaka 10 ijayo mambo yatakuaje?
Kuongea mbele ya kadamnasi nacho ni kipaji boss si Kila mmoja anawezaMwezi uliopita nilihudhuria kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa Dodoma, nilishangaa sana, mwanafunzi wa degree mwaka pili au wa 3 hawezi kuomgea mbele za watu tena kwa kiswahili au kuchangia mada. Mwanafunzi wa mwaka wa 3 kwenye mdahalo inafika zamu yake anashindwa kuongea na mmoja akaishiwa nguvu na kupoteza fahamu, Dah nilishangaa sana mbele ya RC Dodoma pale Mtumba wanachuo wanashindwa kuchangia mada? Yaani hata mambo madogo madogo ya siasa na uchumu mtu anashindwa kuelezea. Hovyo kabisa
Hili ndo tatizo haswa nilokuwa najaribu kuelezea, yaani ile competence haipo kabisa.Mwezi uliopita nilihudhuria kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu mkoa wa Dodoma, nilishangaa sana, mwanafunzi wa degree mwaka pili au wa 3 hawezi kuomgea mbele za watu tena kwa kiswahili au kuchangia mada. Mwanafunzi wa mwaka wa 3 kwenye mdahalo inafika zamu yake anashindwa kuongea na mmoja akaishiwa nguvu na kupoteza fahamu, Dah nilishangaa sana mbele ya RC Dodoma pale Mtumba wanachuo wanashindwa kuchangia mada? Yaani hata mambo madogo madogo ya siasa na uchumu mtu anashindwa kuelezea. Hovyo kabisa
Nimeeleza mtazamo wangu tu mkuu, don't take it personal. Hii kitu ina existKama umekutana na vilaza usifanye generalisation Gentleman
Watu tumemaliza chuo kikuu na tuna madini ya kutosha tunapambana na mtaa tunaishi, nyie endeleeni kubana huko kwenye ajira za tamisemi
Kwa comment hii inaonyesha moja kwa moja nyinyi ndo mifano halisi ya mtoa mada Ngoja nikuelimishe kijana Mtoa mada anahoji kulingana na uwingi hajamaanisha wote kosa ni kwamba umemaliza chuo mwaka jana na ndo maana umekuja bila hodi hata hapo zamani mambulula yalikuwepo hata sasa vipanga wapo ila ukilinganisha kipanga wa Zamani ni Tofauti na kipanga wa sasA ngoja nikuhadithie kidogo kulingana na upungufu wa shule za sekondari hapo zamani mchujo wa kumpata mwanafunzi wa kuendelea elimu ya sekondari ulikuwa ni mkubwa ukilinganisha na sasa Shule ina watoto 300 kwa mfano kwa sasa nusu ya wanafunzi wanafanikiwa kuenda kidato cha kwanza ila kwa zamani kwenye hao 300 si ajabu wangechukuliwa 50 tu tena vichwa kweli kweli sasa hebu jaribu kulinganisha.Kama umekutana na vilaza usifanye generalisation Gentleman
Watu tumemaliza chuo kikuu na tuna madini ya kutosha tunapambana na mtaa tunaishi, nyie endeleeni kubana huko kwenye ajira za tamisemi
Hakika umenena vyema mkuu na kutoa mfano haiKwa comment hii inaonyesha moja kwa moja nyinyi ndo mifano halisi ya mtoa mada Ngoja nikuelimishe kijana Mtoa mada anahoji kulingana na uwingi hajamaanisha wote kosa ni kwamba umemaliza chuo mwaka jana na ndo maana umekuja bila hodi hata hapo zamani mambulula yalikuwepo hata sasa vipanga wapo ila ukilinganisha kipanga wa Zamani ni Tofauti na kipanga wa sasA ngoja nikuhadithie kidogo kulingana na upungufu wa shule za sekondari hapo zamani mchujo wa kumpata mwanafunzi wa kuendelea elimu ya sekondari ulikuwa ni mkubwa ukilinganisha na sasa Shule ina watoto 300 kwa mfano kwa sasa nusu ya wanafunzi wanafanikiwa kuenda kidato cha kwanza ila kwa zamani kwenye hao 300 si ajabu wangechukuliwa 50 tu tena vichwa kweli kweli sasa hebu jaribu kulinganisha.
Kabisa vijana waliomaliza chuo siku hizi ni watupu balaa!Sijakulia miaka ya 90, ila ukweli zama hizi watu wana information nyingi bila maarifa...
Zamani unakutana mtu katoka chuo, kweli yuko confident na kile amesoma, ila siku hizi hadi form4 leaver hatofautiani na mwanachuo kabisa.
Je nini tatizo? Kwa experience watu wanamaliza chuo bila experience, ni vile tu GPA na coursework zinafanywa na chatgpt!!!
Je ni mifumo ya elimu? Utandawazi? Au ndo collapse ya educational systems? Na kama ni kweli tuvute picha miaka 10 ijayo mambo yatakuaje?
Naona kipindi cha nyuma shule zilikuwa ni chache sasa hivi shule kila uchochoroNa mi huwa bado najiuliza hadi mda huu,imekuwa ni kawaida mwanafunzi kumaliza la saba lkn hajui kusoma na kuandika!!!,na pili nini chapelekea siku hizi ufaulu unakuwa mkubwa na mwingi,,tofauti na enzi zetu miaka ya tisini!!?,mwenye kujua tafadhali anieleweshe.