Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Yesu Kristo ndiye mkuu wa kanisa kwa msingi wa uumbaji na ukombozi wa mwanadamu.
Asili ya kanisa ni Yesu Kristo mwenyewe.
Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'
 
Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'
Ni kweli kelele siyo utaratibu wa Yesu.
Huo ni wa majizi na matapeli yanayotumia jina lake.
Habari ya kula mkate na kunywa divai anahusika.
Aliponya na kufufua kwa maneno machache na mafupi bila kelele.
Kumbuka, "Msipayuke kama watu wa mataifa, maana hao hudhani kua watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mention.......
Wanaojiita manabii wengi wa siku hizi wanatambulishwa na maneno haya kuwa kinyume kabisa na Yesu Kristo.
Uthibitisho mwingine ni ushabiki na ushirika na watawala waovu, wasiotenda haki.
 
Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.

Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.

Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.

Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.

Mungu ni mwema.
Ujinga tuu.Serikali siyo ya kanisa.Mpira ulishaisha huu.
 
Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.

Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.

Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.

Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.

Mungu ni mwema.
Wanajisumbua tu huwezi kupambana na serikali za kiafrica hata siku ni kupoteza muda wako tu
 
Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Walafi wanaangalia maslahi yao yameguswa mserereko utakuwa mgumu, wazee wa maokoto tumeshawashtukia siku nyingi watafute watu wa kuwadanganya
 
Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Serekali ya majizi ya kura hamna nguvu hiyo.
 
Wasituletee agenda za ushoga, wangekuwa na uwezo wa mikataba, waache kwanza kuwadhalilisha watoto makanisani tumechoka kuwasikia maaskofu kwani wao ni akina nani? Enzi za roman empire zimekwisha, Dunia kwa sasa ina dini nyingi na mitazamo tofauti.THIS IS NEW ERA.
 
Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'
Aliahidi kulijenga kanisa juu ya Mwamba Petro
 
Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.

Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.

Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.

Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.

Mungu ni mwema.
Maaskofu wakiona picha yenye hijab ktk afisi zao roho zinawauma wnatamani wapasuke. Allah ni muweza. 2035 haipo mbali
 
Back
Top Bottom