Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mpumbavu na upumbavu wako umekuponza tayali.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Yesu anahusiana nini na kanisa!?Kanisa halina sababu yoyote ya kushindana na serikali.
Kanisa linatakiwa lisimame katika kweli ili taifa lipate uzima.
Maneno ya Yesu Kristo, " Mimi ndiye KWELI na UZIMA,.........
Yesu Kristo ndiye mkuu wa kanisa kwa msingi wa uumbaji na ukombozi wa mwanadamu.Yesu anahusiana nini na kanisa!?
Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'Yesu Kristo ndiye mkuu wa kanisa kwa msingi wa uumbaji na ukombozi wa mwanadamu.
Asili ya kanisa ni Yesu Kristo mwenyewe.
Ni kweli kelele siyo utaratibu wa Yesu.Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'
Ujinga tuu.Serikali siyo ya kanisa.Mpira ulishaisha huu.Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Kwahiyo unafurahi tuendelee kupigwa hata baada ya kugundua kuwa tunapigwa, utakuwa na akili nyingi wewe!!Kanisa waseme wazi kama kunamaslahi yao yamefutwa waache ulaghai mikataba mibovu mingi tumeingia nyuma huko mbona walikuwa kimya bandarini tunapigwa wao kimya
Wanajisumbua tu huwezi kupambana na serikali za kiafrica hata siku ni kupoteza muda wako tuHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Walafi wanaangalia maslahi yao yameguswa mserereko utakuwa mgumu, wazee wa maokoto tumeshawashtukia siku nyingi watafute watu wa kuwadanganyaHawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Serekali ina nguvu, ina dini ina akili.Yangu macho tuone dini na serikali nani mwenyewe nguvuView attachment 2802808
Watofautiane mara 2?Ila sizani kama watat9fautiana na Serikali
Serekali ya majizi ya kura hamna nguvu hiyo.Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Hana uwezo huo, RC sio kanisa la Gwajima boss.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki
Aliahidi kulijenga kanisa juu ya Mwamba PetroYesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'
Maaskofu wakiona picha yenye hijab ktk afisi zao roho zinawauma wnatamani wapasuke. Allah ni muweza. 2035 haipo mbaliHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology