Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Bias
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila

Biased mind overlooks the obvious. It's blind to FACTS. Kwani MWAMALANGA ni jina la Kaskazini?

Akili nyingine ni kama ya maiti vile..
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.

======

Kamati ya Kitaifa ya pamoja ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini Tanzania wataka kuundwa tume huru ya kijaji, kuchunguza mvutano unaoendelea kati ya Serikali na Chama cha upinzani, kufuatia Sakata la wabunge wa CHADEMA kupigwa na kuumizwa huko Gereza la Segerea.

Wamesema jopo hili la majaji ndio linakwenda kumaliza minong'ono na chuki inayoendelea katika jamii.


Hao ni Maaskofu au ni Maakofu. Tuacheni utani na Imani
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.

======

Kamati ya Kitaifa ya pamoja ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini Tanzania wataka kuundwa tume huru ya kijaji, kuchunguza mvutano unaoendelea kati ya Serikali na Chama cha upinzani, kufuatia Sakata la wabunge wa CHADEMA kupigwa na kuumizwa huko Gereza la Segerea.

Wamesema jopo hili la majaji ndio linakwenda kumaliza minong'ono na chuki inayoendelea katika jamii.


Hakuna ambaye yupo Juu ya Sheria.
 
Hawa maaskofu hawaelewi utaratibu wa kufuata¿ au wanataka wasikike kua nao wapo
 
Uzi unasema Maaskofu na Mashehe, sijamsikia shehe hapo, na sidhani kama wamehusishwa. Huyu askofu anaomba tume ya majaji kutafuta ukweli, lakini mbona kesha ishutumu Serekali hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na

Na nyinyi mkome kutufanya watanzania wote hatuna akili. Tuna macho, masikio so tunajua kufanya tathimini.
[/QUOTE
Hebu tuwekee tathmini yako kwa mistari miwili tu kulingana na kilichozungumzwa na maaskofu na mashehe juu ya mustakabali wa nchi
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.

======

Kamati ya Kitaifa ya pamoja ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini nchini Tanzania wataka kuundwa tume huru ya kijaji, kuchunguza mvutano unaoendelea kati ya Serikali na Chama cha upinzani, kufuatia Sakata la wabunge wa CHADEMA kupigwa na kuumizwa huko Gereza la Segerea.

Wamesema jopo hili la majaji ndio linakwenda kumaliza minong'ono na chuki inayoendelea katika jamii.


Hawa ni wanadini wachache ambao akili zao bado zipo intact
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Wewe unajuaje kuwa wote ni wa kaskazini je wangeisifia serikali pia ungesema hayo? Acheni unafiki.
 
Back
Top Bottom