FACTSFIRST
Senior Member
- Dec 6, 2019
- 191
- 290
Bias
Biased mind overlooks the obvious. It's blind to FACTS. Kwani MWAMALANGA ni jina la Kaskazini?
Akili nyingine ni kama ya maiti vile..
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Biased mind overlooks the obvious. It's blind to FACTS. Kwani MWAMALANGA ni jina la Kaskazini?
Akili nyingine ni kama ya maiti vile..