Maaskofu wa Kipentecoste (PCT) Waongo?

Maaskofu wa Kipentecoste (PCT) Waongo?

Acha kumtisha Rais wetu, hujui ni chaguo la mungu!
JK asichezee imani ya Wapecosite na hakuna aliyefanya hivyo akafanikiwa kama yupo karibu na wewe mpelekee ujumbe huu!!

Akumbuke kuwa hata pale jangwani alianguka wakati nyinyi mpo munamlinda!!! Hivyo Mungu asipomlinda nyinyi mnafanya bure!!
Amani ya Taifa hili ipo kwasababu Mungu anasikia Maombi ya watu wachache wanao omba!
 
mwingine ni upuuzi, yani hawakupeleka jina halafu kuna jinga eti linasema Rais angewafuata awaulize. soma sheria vizuri iliyompa Rais mamlaka. #KING COBRA
 
JK asichezee imani ya Wapecosite na hakuna aliyefanya hivyo akafanikiwa kama yupo karibu na wewe mpelekee ujumbe huu!! Akumbuke kuwa hata pale jangwani alianguka wakati nyinyi mpo munamlinda!!! Hivyo Mungu asipomlinda nyinyi mnafanya bure!! Amani ya Taifa hili ipo kwasababu Mungu anasikia Maombi ya watu wachache wanao omba!
Uko vizuri KING COBRA sema jina lako tu ndio utata kidogo
 
mwingine ni upuuzi, yani hawakupeleka jina halafu kuna jinga eti linasema Rais angewafuata awaulize. soma sheria vizuri iliyompa Rais mamlaka. #KING COBRA
Ni Suala la mda wapuuzi watajulikana tu kwani hata suala kikombe Serikali nzima ilienda Loliondo ikiongozwa na mkuu wa nchi na ndo maana amewakumbuka wachawi
 
ni kweli besti serikali inataka kujisafisha na haitaki kuwa na serikali tatu kwani wanaogopa kutomuenzi kiongozi wao hasa hawa ssem
...siiamini kabsaaa serikali,hasa wanapoteua watu wawili kwa jina moja halafu hata wao hawajui nani ni nani wakati wamefanya vetting.full uchakachuzi.hi yote ni hofu ya serikali tatu...
 
wwe watu wazima kama wale maaskofu wakae wapatane na kusema huongo katika jambo hili nyeti la katiba
huoni si wanawaonea kabisa ngoja nao waje tuone wanasemaje maana serikali yetu hii inatuburuza kama sisimizi
Ni Suala la mda wapuuzi watajulikana tu kwani hata suala kikombe Serikali nzima ilienda Loliondo ikiongozwa na mkuu wa nchi na ndo maana amewakumbuka wachawi
 
ni vizuri ulivyosema mkuu ngoja waanze maombi yao
tuone serikali itakimbilia wapi kwani naona inacheza na
Mungu wa wapentekoste, hasa huyo kiongozi amrijeshi mkuu
kama atarudi na kuomba msamaha yaani anapuuzia jambo hili
la msingi hiyo yote hawataki serikali tatu ngoja wananchi
watoke katika huu usingizi wa milongo iliyopita waone
wanavyofanyiwa na hii serikali kandamizi

JK asichezee imani ya Wapecosite na hakuna aliyefanya hivyo akafanikiwa kama yupo karibu na wewe mpelekee ujumbe huu!!

Akumbuke kuwa hata pale jangwani alianguka wakati nyinyi mpo munamlinda!!! Hivyo Mungu asipomlinda nyinyi mnafanya bure!!
Amani ya Taifa hili ipo kwasababu Mungu anasikia Maombi ya watu wachache wanao omba!
 
wakati mwingine ni heri unyamaze kimya ili uonekane hufai mbele za watu
kumbe unafaa sana kuwa kiongozi wao kabisa
mwingine ni upuuzi, yani hawakupeleka jina halafu kuna jinga eti linasema Rais angewafuata awaulize. soma sheria vizuri iliyompa Rais mamlaka. #KING COBRA
 
Back
Top Bottom