Maaskofu waache kutuchanganya

Maaskofu waache kutuchanganya

Pengo anatumiwa na ccm kuwapotosha wananchi.

Masheikh wenzangu na wengine kote nchini, ni vema tukaiga mfano wa Kadinali wa Wakatoliki Pengo kuwahimiza ndugu Waislam kuisoma Katiba Inayopendekezwa na hatimaye kuipigia kura kadri ulivyoielewa sio kukaa na kuanza kutoa hoja mbaya zisizo na mashiko humu ndani.
 
Masheikh wenzangu na wengine kote nchini, ni vema tukaiga mfano wa Kadinali wa Wakatoliki Pengo kuwahimiza ndugu Waislam kuisoma Katiba Inayopendekezwa na hatimaye kuipigia kura kadri ulivyoielewa sio kukaa na kuanza kutoa hoja mbaya zisizo na mashiko humu ndani.

Hizo katiba ziko wapi?
 
Back
Top Bottom