Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ushauri tu
Kwenu
Maaskofu wakuu
Wapendwa wasaidizi wa maaskofu
Anzeni vikao vya kuambiana
Kuzikana sio lazima wawe wah ama wafanyabiashara ama wanaotoa sana kanisanii
Mnaposikia misiba ya waumini jifunzeni kuhudhuriq msisubiri kusikia tajwa hapo juu ndio tunakuja kuwaonq
Flan
Kuna baadhi ya maaskofu hawaensi kusalishq maiti hatakama umehudumu miaka 100
Wasikie
Mzee wa lanisa flani huyooo
Asikie mzazi wa mzee wa kanisa tajiri huyooo anahudhuria ibda siku ya kwanza msiban mpaka anamzika
Nawengine hata kwenda mkoani kisa tu mh alikuwa tajiri analea kanisa
Tujifunze hizi nafsi n zq kupita
Kama hamwaminiii ulizeni hizi jumuiya zina vitukooo
Msiba unatokea wa mwanajumuiya askofu anambiwa tuna msiba...anamleta parishweka
Hapo akoonekana siku 2. YA nne mnakutana kanisani anasalisha yeye
Na sie tunatamanii kusalishwa na nyiee Wakubwaaa
Kazinikunakazii
mbarikiwe
Kwenu
Maaskofu wakuu
Wapendwa wasaidizi wa maaskofu
Anzeni vikao vya kuambiana
Kuzikana sio lazima wawe wah ama wafanyabiashara ama wanaotoa sana kanisanii
Mnaposikia misiba ya waumini jifunzeni kuhudhuriq msisubiri kusikia tajwa hapo juu ndio tunakuja kuwaonq
Flan
Kuna baadhi ya maaskofu hawaensi kusalishq maiti hatakama umehudumu miaka 100
Wasikie
Mzee wa lanisa flani huyooo
Asikie mzazi wa mzee wa kanisa tajiri huyooo anahudhuria ibda siku ya kwanza msiban mpaka anamzika
Nawengine hata kwenda mkoani kisa tu mh alikuwa tajiri analea kanisa
Tujifunze hizi nafsi n zq kupita
Kama hamwaminiii ulizeni hizi jumuiya zina vitukooo
Msiba unatokea wa mwanajumuiya askofu anambiwa tuna msiba...anamleta parishweka
Hapo akoonekana siku 2. YA nne mnakutana kanisani anasalisha yeye
Na sie tunatamanii kusalishwa na nyiee Wakubwaaa
Kazinikunakazii
mbarikiwe