Ndio bomba zaidi wengi wana elimu ni wasafi wanang'ara wanatumia makeups vipodozi na marashi ya bei mbaya wanajua kusuka sangita za mmasai na Brazilian wanamiliki smart phones (japo nyingi ni mchina copy) wengi hawaishi geto ama wamepanga vyumba manzese au wamepangishiwa
Ila ni------>>>
WEZI NA COLD PROSTITUTES
wa bar gani hawa mbona kama watakatifu sana? sketi ndeeefu
wapo smart hadi rahaa utadhani wanafunzi wa jangwanii..Kwa ndugu yako hapo Matei
weeeeeeeeeeeeeeee si kwa mwezi huu aisee neverKama upo tayari takupeleka ila bili juu yako [emoji12] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
hahahaaa uwiii labda wa bar za sumbawanga..View attachment 320602Maskini huyu sijui ni wa wapi?
una utani na baba riziiii mie sipoooo kwaheriiiMsoga[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
hahah hivi unazipatiaga wapi hizi pichaa uwii mbona pombe imewekwa kwenye kisado...badala ya chibuku...😀