Mabaamedi wa Sinza na Kinondoni

Mabaamedi wa Sinza na Kinondoni

Hii wapi jamani na mimi niende?!

1454339919932-jpg.320663
mmh jaman hata hajapendeza...sasa wakimshika kalio walevi atamlalamikia nan akati mali yote ipo wazi? muulize mshana jr atakua anamjua
 
mmh jaman hata hajapendeza...sasa wakimshika kalio walevi atamlalamikia nan akati mali yote ipo wazi? muulize mshana jr atakua anamjua


Usiseme walevi sema wanywaji, kuwaita watu walevi Ni utani wa ngumi huo.
 
Ndio bomba zaidi wengi wana elimu ni wasafi wanang'ara wanatumia makeups vipodozi na marashi ya bei mbaya wanajua kusuka sangita za mmasai na Brazilian wanamiliki smart phones (japo nyingi ni mchina copy) wengi hawaishi geto ama wamepanga vyumba manzese au wamepangishiwa
Ila ni------>>>

WEZI NA COLD PROSTITUTES
Inaonekana una uzoefu nao sana hao watu wa maeneo uliyotaja
 
Ukipata muda wa kuongea na mabaamedi jaribu kufanya hivyo, kuna wengine ni wife material sema maisha tu ndio yanawasukuma kufanya ufuska.
 
Ndio bomba zaidi wengi wana elimu ni wasafi wanang'ara wanatumia makeups vipodozi na marashi ya bei mbaya wanajua kusuka sangita za mmasai na Brazilian wanamiliki smart phones (japo nyingi ni mchina copy) wengi hawaishi geto ama wamepanga vyumba manzese au wamepangishiwa
Ila ni------>>>

WEZI NA COLD PROSTITUTES
umeongea ukweli mtupu mkuu. nami naweza kuthibitisha hilo pasipo shaka kwa kuwa hata mi yamenikuta.
 
Back
Top Bottom