Siyo ladha tu bali anaweza kukosa nutrients muhimu ktk mwili wake...hawa ndio wale wanakula tumbo lijae tuUvivu wako wa kupika usikufanye ule makapi. Mavyakula yaliolala kwenye fridge hayanaga ladha.
Best thing ni kuacha uvivu. Pika chakula freshi ule freshi.
Wanafeli sana yaniSiyo ladha tu bali anaweza kukosa nutrients muhimu ktk mwili wake...hawa ndio wale wanakula tumbo lijae tu
mahindi ya kuchoma au kuchemsha na glass tatu za maji siku imeingia 😜😜😜
Sio lazima mpaka uunge na nyanya.Ugali na dagaa mchele.
dagaa wa 500, nyanya2, carot1, na kitunguu maji1 na kipande cha limao/ndimu
Kwenye jiko la gesi ni dk5
NB: MBOGA NA UGALI VINALIWA KWENYE VYOMBO VILIVYOPIKIWA KUPUNGUZA KAZI YA KUOSHA VYOMBO
Ukitaka nilale njaa nile hiko chakulaViazi Mviriringo Mixer nyama
Kwenye nyumba zetu hizi za uswahilini majokofu yanawashwa kwa masaa, unajikuta kila siku vinachachaKupika kila siku kunachosha fanya hivi kama una jokofu, wewe tenga siku upike vyakula tofauti tofauti kisha hifadhi kwenye jokofu, kazi yako inakua kuchota kidogo na kupasha kwenye Microwave tu.
Mtembelee Aroma of Zanzibar YouTube atakupa muongozo wa kupika vyakula mbali mbali mimi huyu ni mkombozi wangu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Ukiwa Bongo muda wa kupika kila saa unakuwepo, ukiishi Sigimbi ndio utaelewa hayo maisha,Siyo ladha tu bali anaweza kukosa nutrients muhimu ktk mwili wake...hawa ndio wale wanakula tumbo lijae tu
Aisee, hapo mtihani tena babe, itabidi nikuhamishe hiyo nyumba.Kwenye nyumba zetu hizi za uswahilini majokofu yanawashwa kwa masaa, unajikuta kila siku vinachacha
Kweli babe fanya hivyo aiseeAisee, hapo mtihani tena babe, itabidi nikuhamishe hiyo nyumba.
Hiyo mzee baba matonge yanakuwa makavu sana 😀 😀Sio lazima mpaka uunge na nyanya.
Pika ugali kisha nenda kanunuw dagaa mchele.
Ulirudi nawa mikono kata matonge
Mkuu ndio nini hiki? Unaweza kutuelekeza namna ya kupika?Matobolwa au mchembe dkk 15 umeshakula
Na issue nyingine mabachela tunateseka ni kwenye kufua...mi njia rahisi nina mashati 18 na Boxer 22 navifua vyote naviweka, na nia jeans zisizopungua 9 kadeti 3..nachofanya jeans kufuliwa ni nadra sana nakuwa nazi-edit(haifuliwi inafutwa na maji na kitambaa kwa ustadi mkubwa)...so kufua nafua mara moja kwa mwezi (Boxer,Vest,Mashati na sox pair 3).na haipiti siku tatu nafua shati moja usiku ninavokuwa nimetoka mihangaikoni .Jeans ikifuliwa siku hiyo lazima icheke ...Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika?
Asanteni
NimekubaliUgali na dagaa mchele.
dagaa wa 500, nyanya2, carot1, na kitunguu maji1 na kipande cha limao/ndimu
Kwenye jiko la gesi ni dk5
NB: MBOGA NA UGALI VINALIWA KWENYE VYOMBO VILIVYOPIKIWA KUPUNGUZA KAZI YA KUOSHA VYOMBO
View attachment 1565836