Mabachela wote single boy/Single girl

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Wale wa kwenye ndoa pliz mkae mbali na uzi huu msije kufa kwa stress.

Tujadili yale yanayotuhusu sisi mabachela vile tunaishi kwa Raha kuliko walioko kwenye ndoa,

vile tunavyowatafuna wale viumbe bila kipingamizi wala kuogopa chochote .

Na vile tunatafuta pay na kutumia bila vikwazo vya familia.

Vile tunapika,kufua inshort kazi zote za kibachela tunakuja kuzimwaga hapa.


NB;uzi ni kwa Ambao hawajaoa au kuolewa (Mabachela)
.
 
Ila hakuna kitu kizuri maishani kama uhuru. Yaani unajiamulia mambo yako bila ya bughudha.
 
Kwanza kabisa niaze na kitu kidogo.



Kwenye ulevi wangu wa mpira hapa hata game iwe saa tisa kama za marekani sina kipingamizi cha kuangalia.




nitarudi kuendelea
Hii inaweza ikawa sababu kubwa sana la kupata member wengi kwenye chama la mabachela
 
yaani dume unalaa usiku kucha bila kugusa papuchi then unajisifu!! sasa maisha ya nini? si bora usiwe duniani yaani uombe Mungu akuchukue
Jomba mbona unaongea kwa uchungu hivyo? Ulilazimishwa kuoa nin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…