Tupo wengi sana, nyie ndio mnajidai mnakula ujanaTatizo waoaji hakuna
Hehe sipati picha ntakavyoyarudiseroius mie nitaiandaa !humu wanaojielewa wengi mbona !
Nalendwa ,Heaven Sent ,Shunie etc!yaan itakuwa hatareeeeeeee
Ukitulia tutakuja wengi tu.Tatizo waoaji hakuna
Tupoooo wacheza kwaito aolewe na kitchen party itafanyikaseroius mie nitaiandaa !humu wanaojielewa wengi mbona !
Nalendwa ,Heaven Sent ,Shunie etc!yaan itakuwa hatareeeeeeee
Hahahahaaa!!!!Ukitulia tutakuja wengi tu.
nipo hapaTatizo waoaji hakuna
Pole kwa stressPambana na ndoa yako na ligagula lako..
Hureee... safi sana...
Tupo JamanTatizo waoaji hakuna
Na mi muda utakuwa badoMie muda bado mkuu, Asantee kwa maombi
Nipo muoaji.....HapaTatizo waoaji hakuna