mimi mkali
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,794
- 1,570
Tupo,tatizo hamtutaki wafuga kukuTatizo waoaji hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo,tatizo hamtutaki wafuga kukuTatizo waoaji hakuna
Tupo,tatizo hamtutaki wafuga kuku
Haaa haaa haaa,sio mimi ila ilinichomaaa moyo yule dada kusema vileHahahahhaha!!! Ni wew nini ndo ulikataliwa??
Tatizo lipo kwakoTatizo waoaji hakuna
Usitupangie maisha brooHellow!
Rai yangu mwaka huu usiishe bila kuoa maana sisi ndugu zenu tuko tayari kuwachangia kwa chochote mnachohitaji ili kuepukana na huo ubachelor.
Wadada tunaendelea kuwaombea ili Mungu awasaidie mwaka huu usiishe Bure.
Tuko pamoja sana.
Wengine acha tucheze kwaito tuKwani nyinyi hamtaki kuolewa? Mungu anawaona!
Tunataka, ila waowaji hamtaki kutuwowa; tufanyeje sasa?Kwani nyinyi hamtaki kuolewa? Mungu anawaona!
Nifungulie kule nije nina mambo mawili matatu nataka tujadili kidogo.Wengine acha tucheze kwaito tu
Fosi kingi...!Tunataka, ila waowaji hamtaki kutuwowa; tufanyeje sasa?
Haaa haaa haaa,sio mimi ila ilinichomaaa moyo yule dada kusema vile
Sijui kwa nini nakuogopa ila me nimeshaolewa hayo ya kujadili kusiwe kuhusu la kuolewa [emoji3][emoji3]Nifungulie kule nije nina mambo mawili matatu nataka tujadili kidogo.
Hapana mimi ni porter KilimanjaroUnafuga kuku au ng'ombe wewee??? hahahaa!!!
Nisijeishia kujiwowa bure, mie bi harusi afu mke mwingineFosi kingi...!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Sijui kwa nini nakuogopa ila me nimeshaolewa hayo ya kujadili kusiwe kuhusu la kuolewa [emoji3][emoji3]
Ahahaha kweli namuogopa hata sijui kwa nini[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125]