Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
-
- #121
ahhaaa acha tu mkuuDah....ndiyo asili yao haikwepeki [emoji13] [emoji13]
Kwanza uwe na kisamvu kilichotwangwaMimi kabej situmii nielekez mapish ya kisamvu
na ubwabwa tu bas.ndo Siku itapita kiivo.njegere unapika na nini?
njegere tu chukuchuku au na nyama?na ubwabwa tu bas.ndo Siku itapita kiivo.
kwakoMiss Natafuta baada ya kula, kulala wapi???
sio vizuri kula kula mahotelini au kwa mama ntilie.vyakula vya mtaani vinawekewa vitu vingi sana
hii post ni mahususi kwa mabachelors tunaelekezana kitu cha kupika hapa kwa urahisi.
kesho napendekeza tule ugali na mboga ya kabeji na kuku najua wengi hampendi kabeji maana ni chakula cha mifugo ila tutalipika vizuri kila mtu ataenjoy
muda wa kuanza kupika saa sita na robo mchana kesho
mahitaji
kabeji ndogo 1
kuku nusu ukiamua kujilipua kuku mzima poa tu
nyanya 2
kitunguu kikubwa 1
hoho 1
pilipili mbichi1
apple cider vinegar vijiko 5
mafuta ya kupikia nusu kikombe
chumvi robo kijiko
unga wa ugali nusu au robo kilo
maji lita mbili
saa sita tuonane hapa tuelekezane hatua kwa hatua
unaweza ukapendekeza tupike nini pia mimi namwaga tu jinsi ya kupika tanzania tumejaliwa vyakula vingi na vipo masokoni kwa bei poa pia. tunajitesa na chips,sijui burger mshahara unaishia huko hatuna tunachokifanya hapa hadi mabogatutapika
bila nyama shost....ivoivo....njegere tu chukuchuku au na nyama?
Dish washerMashine za kuosha vyombo??
Sijawahi kuziona
Niambie zinauzwa wapi
Kwanza uwe na kisamvu kilichotwangwa
Pili chemsha kisamvu chako kuna option mbili wawezatwangia vitunguu swaumu pamoja na kisamvu au wakati wa kukiunga ndio unaviweka
Uwe na vitunguu Maji
Vitunguu swaumu
Nazi au Katanga ni choice yako
Wengine wataongezea
My sweet mangii tuondoke hapa hapatuhusu, acha wale kabeji njoo ujilie kipapatio hukuEvelyn Salt BAE, unakumbuka enzi hizo tukiwa bachelors!???
My sweet mangii tuondoke hapa hapatuhusu, acha wale kabeji njoo ujilie kipapatio huku
Mkuu,kile kilichotwangwa tayari huwa sikiamini,wanachanganya na kilichokomaa,pia usafi wake ni wa mashaka si unajua konokono kwa kupenda kujificha katika visamvu?,kama unaweza chambua na utwange mwenyewe.Kwanza uwe na kisamvu kilichotwangwa
Pili chemsha kisamvu chako kuna option mbili wawezatwangia vitunguu swaumu pamoja na kisamvu au wakati wa kukiunga ndio unaviweka
Uwe na vitunguu Maji
Vitunguu swaumu
Nazi au Katanga ni choice yako
Wengine wataongezea