Mabachelor wote tukutane hapa kesho tule vizuri

Mabachelor wote tukutane hapa kesho tule vizuri

Mimi kabej situmii nielekez mapish ya kisamvu
Kwanza uwe na kisamvu kilichotwangwa
Pili chemsha kisamvu chako kuna option mbili wawezatwangia vitunguu swaumu pamoja na kisamvu au wakati wa kukiunga ndio unaviweka
Uwe na vitunguu Maji
Vitunguu swaumu
Nazi au Katanga ni choice yako
Wengine wataongezea
 
Nyie wakike ambao Bado hamjaolewa mnaitwa maspinters, anyway tumekuelewa ila soon tutakua sio members tena
 
sio vizuri kula kula mahotelini au kwa mama ntilie.vyakula vya mtaani vinawekewa vitu vingi sana
hii post ni mahususi kwa mabachelors tunaelekezana kitu cha kupika hapa kwa urahisi.
kesho napendekeza tule ugali na mboga ya kabeji na kuku najua wengi hampendi kabeji maana ni chakula cha mifugo ila tutalipika vizuri kila mtu ataenjoy

muda wa kuanza kupika saa sita na robo mchana kesho
mahitaji
kabeji ndogo 1
kuku nusu ukiamua kujilipua kuku mzima poa tu
nyanya 2
kitunguu kikubwa 1
hoho 1
pilipili mbichi1
apple cider vinegar vijiko 5
mafuta ya kupikia nusu kikombe
chumvi robo kijiko
unga wa ugali nusu au robo kilo
maji lita mbili
saa sita tuonane hapa tuelekezane hatua kwa hatua

unaweza ukapendekeza tupike nini pia mimi namwaga tu jinsi ya kupika tanzania tumejaliwa vyakula vingi na vipo masokoni kwa bei poa pia. tunajitesa na chips,sijui burger mshahara unaishia huko hatuna tunachokifanya hapa hadi mabogatutapika

mualiko flan amizing mbona sina taarifa bibie
 
Kwanza uwe na kisamvu kilichotwangwa
Pili chemsha kisamvu chako kuna option mbili wawezatwangia vitunguu swaumu pamoja na kisamvu au wakati wa kukiunga ndio unaviweka
Uwe na vitunguu Maji
Vitunguu swaumu
Nazi au Katanga ni choice yako
Wengine wataongezea


hii ni pitiku nini mkuu.
 
Kwanza uwe na kisamvu kilichotwangwa
Pili chemsha kisamvu chako kuna option mbili wawezatwangia vitunguu swaumu pamoja na kisamvu au wakati wa kukiunga ndio unaviweka
Uwe na vitunguu Maji
Vitunguu swaumu
Nazi au Katanga ni choice yako
Wengine wataongezea
Mkuu,kile kilichotwangwa tayari huwa sikiamini,wanachanganya na kilichokomaa,pia usafi wake ni wa mashaka si unajua konokono kwa kupenda kujificha katika visamvu?,kama unaweza chambua na utwange mwenyewe.
 
miss natafuta huwa nikiona uzi wako moyo huwa unanienda mbio kama jipu limemuona magufuli... Ni PM bs hata nifarijike nafsi
 
Back
Top Bottom