Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Ummy na Jenister kama nawaona wadogo.......hawana hamu maana wanaitwa eti mizigo! Daaa aibu na inakera!
 
hivi akifanya kama amesahau akachagua kutoka upinzani kwel ataongeza umaarufu zaidi duniani
 
eti amada......tehteh
ila ile mipango ilipangwa mkuu
 
UKIWA KWA UKAWA! CCM YAZIDI KUSONGA MBELE!
 
Mpaka sasa ummy ni miongoni mwa mawaziri bora kabisa, huwezi mlinganisha na ndalichako
Ummy ni Waziri bora kabisa. She has been performing well katika Serikali hii mpya ambayo imejaa midume tele.
 
I think its too early to make changes may be next year
 
Kumbe January tuhuma zake dhidi ya JPM zilianza kitambo!
 

Chadema ndo kuna wazalendo???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…