Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Nadhani hili la Kitwanga kufukuzwa kazi kwa ulevi lilikua limelenga kumuepusha na kashfa ya Lugumi lakini limeibua vita mpya huko maofisini.
Kwa kweli wakuu wengi wa Idara ni walevi. Na hata ishu za kazi wanazipangia kwenye ulevi. Hata watumishi wa chini wanakupokuwa wanawapa mabosi ofa za pombe na ngono ndipo mambo yao yananyooka.

Utendaji unakwamishwa na walevi wa pombe na ngono maofisini.
Watu wanakesha kwenye baa halafu kesho wakutana ofisini kusimuliana matukio ya pombe za jana.
 
Thread hii inathibitisha ile taarifa kuwa 71% ya Watanzania hupenda kufanya mambo yasiyo na tija. Seriously, tangu jana bado tunajadili TETESI!!?? Come on guys!
 
Unajua vizuri mgongano wake wa kimaslahi ulivyokwamisha maendeleo ya manispaa ya mji wa Bukoba?

Alikua wizara hiyo hiyo na hakuna alichofanya kimkakati chenye tija kwa taifa.

Tunataka hiyo wizara iongozwe na mtu mwadilifu kwani inaigusa jamii kwa kiwango kikubwa.
Dr. Slaa ateuliwe kuwa mbunge na kukabidhiwa wizara hii.

Bila kuwa na waziri wa mambo ya ndani mwadilifu Magufuli atakwama sana.
Naunga mkono kabisa kwamba kuachia enzi za Lyatonga Mrema, nchi haijapata tena waziri aliyefaa wizara ya mambo ya ndani. Kwa sasa tunahitaji mtu mwingine aina ya JPM au Mrema. Hakika mtu huyo kwa sasa ni Dr W. Slaa. Tuombe Mungu Rais afikiri au ashauriwe sawasawa ili tupate mtu muafaka wa kuongoza wirara hiyo nyeti.
 
Thread hii inathibitisha ile taarifa kuwa 71% ya Watanzania hupenda kufanya mambo yasiyo na tija. Seriously, tangu jana bado tunajadili TETESI!!?? Come on guys!
Mkuu hii siyo kujadili mambo yasiyo na tija, bali watu wengi wamechoshwa na namna nchi inavyoongozwa. Viongozi ndio chachu ya maendeleo ya Taifa lolote Duniani. Viongozi ni dira, mfano wa kuigwa na ndio watunga sera. Viongozi wakitunga sera nzuri watu wetu wengi watakuwa bize na shughuli kwa kuwa kilimo kitakuwa na tija, uzalishaji wowote utakuwa na tija.

Lakini hivi sasa wananchi wameachwa wajitafutie kila kitu kama kuku wa kienyeji. Matokeo yake watu wengi hawana cha kufanya na hivyo kujihusisha na mambo haya unayosema hayana tija. Siku zote wananchi wanatakiwa kuongozwa siyo kuachwa wakajiongoza wenyewe.

Uongozi kwa wananchi ni kutokana na sheria na sera nzuri zenye maslahi mapana kwa Taifa. Ni kwa njia hiyo mataifa yanayoitwa makubwa au yaliyoendelea yalivyofanya
 
Naona ttzo jina la Hamis ndio lakutisha
Unajua vizuri mgongano wake wa kimaslahi ulivyokwamisha maendeleo ya manispaa ya mji wa Bukoba?

Alikua wizara hiyo hiyo na hakuna alichofanya kimkakati chenye tija kwa taifa.

Tunataka hiyo wizara iongozwe na mtu mwadilifu kwani inaigusa jamii kwa kiwango kikubwa.
Dr. Slaa ateuliwe kuwa mbunge na kukabidhiwa wizara hii.

Bila kuwa na waziri wa mambo ya ndani mwadilifu Magufuli atakwama sana.
 
Kwa style ya mkuu wetu tetesi zikisha leak hata kama ni za ukweli atabadlisha gia maana hapendi kuona mambo yake yanavuja kabla hajatoa yeye.
 
Uzi ni tetesi tu lakini unakimbizwa mpaka kurasa zote hizo...hii ina maana gani? Ama kweli si muda mlefu tutahathirika sana mbinyo wa habari ktk kipindi cha Magu.
 
Tuondolee uchuro, hakuna msomali anayeweza kuwa waziri Tanzania ya leo, BTW Bashe ni kibaraka wa Rostam Aziz mzee wa Panapa paper hatuwezi kuweka maliasili zetu rehani ati Bashe awe waziri wa maliasili ili amgawie vitaru Rostam Aziz ambaye anamiliki kampuni za uwindaji, tuondoleeni uchuro huu Tafadhari, Rais si mpuuzi kama mnavyodhani na system iko macho na tunafanyanayo kazi bega kwa bega na taarifa zote sahihi tunazifikisha.

Ndio maana wengine hatuna muda wa makelele kwa sasa tumeshika rimoti tu.

One down next Ramadhani Dau.
Kuwa mzalendo japo kidogo, anaweza kuwa ana asili ya kisomali lakini hata babu ya
Bashe???Kaajiriwa na Rostam apewe uwaziri?Acha utani na magufuli
Serukamba alitupa tabu sana na hela za lowassa huyu hata msimfikirie kabisa
Tanzania ina watu wabaguzi sana km ww Matola yani unathubutu kusema mtu asipewe uwaziri sababu anaasili ya kisomali.
Pengine akichunguzwa hata mabibi na babu zake wote wamezaliwa Tanzania.

Kuwa na hoja ya msingi sio personal attack
 
rais abadilishe katiba imruhusu kuteua wabunge bila ukomo ili apate wigo mpana wa kuteua mawaziri nje ya wabunge wa CCM maana wenye uwezo wameisha wamebaki kina goodluck na Agnes.
 
mkuu yaani kwa mtu mwenye akili timamu,.ccm siyakushabikia kabisaaaaa
mwakyembe ndo wazr husika wa katiba na sheria za nchi hii,then mtu mlevi mlevi2 anavunja katiba tena mbele ya chombo cha buge,.then anachekelea bila haibu,.hivi hawa viongoz wakoje sijui,....jpm anakaz sana kwa hii system ya kuchekeleana hovyohovyo,.labda aame chama,.ila ndani ya ccm,..hamna atakofanikiwa
Yaani huyu mwakyembe kwa hili ndio nimezidi kumdharau, wakati anamtukana Lowasa STAR TV niliona ni mtu asie jielewa kwa hili la kuchekea mlevi ana dharaulisha bunge na bendera za nchi hii ndio nime tia super glue kuwa jamaa sie. Wana Kyela pole yao ndio maana jimbo haliendelei hawana mtu pale.
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
kama ni dhamira njema umejisahaulisha vipi tatizo la Zanzibar? au pia ni dhamira njema
 
Sina hakika kama kutakuwa na mabadiliko makubwa ya Cabinet lakini kama hilo lipo, Magufuli angetazama upya wizara ya Mbarawa. Ni kubwa sana. Angeivunja, akaacha ujenzi peke yake vikorombwezo vingine angeviundia wizara yake
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Yeye ni rais. Hii hoja oh mara aungwe mkono mimi inanishangaza. Kwani mtu anaweza kuwa rais kama hakuungwa mkono na wananchi. Kama kweli alichaguliwa na wananchi, atekeleze wajibu wake kwa sababu job description ya wananchi anayo.
 
Sa
NINAOMBA RADHI KAMA ITAKUWA IMEMKWAZA YEYOTE ILA NIA YANGU ILIKUWA NZURI KWANI TUNATAKA TUFIKE MBALI HIVYO KUSHAURI NI MUHIMU ILI TUSAIDIE GURUDUMU LA MAENDELEO

Sawa mkuu wangu maana kuna sheria kali za uhalifu wa mitandao mkuu usije ukabebwa tukakumiss huku JF hahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom