Safiiiiiiiiiii....
Adadi Rajabu sio mtendaji kivile, aluvyokuwa DCI rushwa ilishamiri sana... labda Magufuli amdhibiti sana, sbb hii SERIKALI HAKUNA MCHEZo..!!....
Kama proved alikuwa mlarushwa hakuna kuhangaika nae. Mbona wapo wenye rekodi nzur na wenye kuweza kazi na waadilifu? Kwanin kuhangaika na wasio waaminifu?
Yaaani Rais aanze kuhangaika kumfundisha mzee kama yule au mtu mzima kias kile jinsi ya kutokula rushwa? Huko ni kupoteza muda tu na Rais hana muda huo
Ni bora kutumia muda mwingi kumtafta mtu mwenye uwezo na msafi kuliko kupoteza muda kumfundisha kazi asiye weza kazi au kumfundisha uadilifu mtu asiye muadilifu