Pro Magufuli Wa 47
Senior Member
- Mar 5, 2016
- 188
- 58
Najua hicho ndo MaBeib CHADEMA mnachotamani kitokee, Mtaisoma namba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapo ukimwika na Dr Balozi khamis kagasheki moto utawaka na majani yasioungua yataungua tu
Acha achunge ng'ombe hili game lilishamshinda zamaniMkome kudhurumu watu ushindi wao......Lowasa anazidi kuwazizima maskinio ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Unajua vizuri mgongano wake wa kimaslahi ulivyokwamisha maendeleo ya manispaa ya mji wa Bukoba?
Alikua wizara hiyo hiyo na hakuna alichofanya kimkakati chenye tija kwa taifa.
Tunataka hiyo wizara iongozwe na mtu mwadilifu kwani inaigusa jamii kwa kiwango kikubwa.
Dr. Slaa ateuliwe kuwa mbunge na kukabidhiwa wizara hii
Bila kuwa na waziri wa mambo ya ndani mwadilifu Magufuli atakwama sana.
na bado ile dhambi kuihujumu ukawa na kuupora ushindi wa EDO wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana bado inaendelea kuitafuna ccm ``chama cha majipu" na huo ni mwanzo2.ukistaajabu ya
LUGUMI utaona ya "JANUARI"
aondolewe2 kwenye uwaziri uone
A
Angalia lugha yako mkuu sio busara kutumia lugha au neno UPUUZI kwa mamlaka ya uteuzi wa Mh Rais
Watanzania mazuzu, huyu kwa utendaji kazi gani? Uhalifu mwingi akiwa DCI, Sasa uwaziri atauweza????Hiyo reshuffle itakuwa nzuri ila Adad Rajabu mhhh.
Hata akimwaga mboga itamsaidia nini??zaidi ya kuishia kubaya zaidi!!