Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Mkuu hapo ukimwika na Dr Balozi khamis kagasheki moto utawaka na majani yasioungua yataungua tu


Unajua vizuri mgongano wake wa kimaslahi ulivyokwamisha maendeleo ya manispaa ya mji wa Bukoba?

Alikua wizara hiyo hiyo na hakuna alichofanya kimkakati chenye tija kwa taifa.

Tunataka hiyo wizara iongozwe na mtu mwadilifu kwani inaigusa jamii kwa kiwango kikubwa.
Dr. Slaa ateuliwe kuwa mbunge na kukabidhiwa wizara hii.

Bila kuwa na waziri wa mambo ya ndani mwadilifu Magufuli atakwama sana.
 
Wakati Mwigulu ametransform kutoka katika "uchama" hadi "Utaifa", Mwenzie Nape anadhani kuwa "CCM ni bora" kuliko " Taifa", ndiyo maana ameondoa Bunge Live kukilinda chama!
 
na bado ile dhambi kuihujumu ukawa na kuupora ushindi wa EDO wakati wa uchaguzi mkuu mwaka jana bado inaendelea kuitafuna ccm ``chama cha majipu" na huo ni mwanzo2.ukistaajabu ya LUGUMI utaona ya "JANUARI" aondolewe2 kwenye uwaziri uone
 
Kitwanga aliyetwanga kiroba na ikamtwanga out nasikia akiungama na kuacha pombe atapangiwa kazi nyingine
 
Unajua vizuri mgongano wake wa kimaslahi ulivyokwamisha maendeleo ya manispaa ya mji wa Bukoba?

Alikua wizara hiyo hiyo na hakuna alichofanya kimkakati chenye tija kwa taifa.
Tunataka hiyo wizara iongozwe na mtu mwadilifu kwani inaigusa jamii kwa kiwango kikubwa.
Dr. Slaa ateuliwe kuwa mbunge na kukabidhiwa wizara hii
Bila kuwa na waziri wa mambo ya ndani mwadilifu Magufuli atakwama sana.

Kipindi kile hakua na makucha makali yakikua tu yanakatwa
 
A

Angalia lugha yako mkuu sio busara kutumia lugha au neno UPUUZI kwa mamlaka ya uteuzi wa Mh Rais

NINAOMBA RADHI KAMA ITAKUWA IMEMKWAZA YEYOTE ILA NIA YANGU ILIKUWA NZURI KWANI TUNATAKA TUFIKE MBALI HIVYO KUSHAURI NI MUHIMU ILI TUSAIDIE GURUDUMU LA MAENDELEO
 
JM anachukiwa sana na nyumbu na hii yote ni namna alivyocheza kwenye mechi ya uchaguzi mkuu
 
Habari!mh mwijage ndiye ameukwaa uwaziri wa lawama wa mambo ya ndani!masauni naye aula.....tetesi ....
 
Kitu kimoja namshauri Ngosha. Ajiepushe na fukuza fukuza.

Hata JK aliifanya, kwa style yake na haikuwahi kumsaidia.
 
Back
Top Bottom