Mabadiliko Jeshini: Mpambe wa Rais apandishwa cheo na kupangiwa kazi nyingine, Kanali Mulunga awa mpambe mpya

Mabadiliko Jeshini: Mpambe wa Rais apandishwa cheo na kupangiwa kazi nyingine, Kanali Mulunga awa mpambe mpya

Nimemwomba Mh. Rais....
Nimemwomba Mh. Rais.....
Nimemwomba Mh. Rais....
Kwani hawezi kufanya teuzi bila kumwomba Huyo...?
Anaewapandisha cheo ni raisi. Mabeyo hapo kasoma taarifa kwaniaba ya raisi na si yeye aliewapandisha.
Yeye ameomba hao wapandishwe ili aweze kuwatumia kwenye safu yake ya uongozi
 
Kanali mkelemi sio tena ADC wa mukulu,anakuja kanali mwingine" sawa, kwani ukiwa brigedia general huwezi kuwa ADC wa presidar?
Wanaofahamu mambo ya inteligencia watujuze
cc. Brother GENTAMYCINE,na wengineo
Kila cheo jeshini kinakua na majukumu yake mfano afisa mteule (Non-commisioned officer NCO) ndo hua anakua RSM (kiongozi wa nidhamu jeshini-kwa maafisa wadogo).
ikitokea akapewa kamisheni na kua afisa hawezi kuendelea na cheo hicho.
hujo Mkelemi hawezi kuendelea kuwa bodyguard kwa sababu amekua afisa wa juu. afisa wa juu hawezi kuwa body guard.
 
Kanali mkelemi sio tena ADC wa mukulu,anakuja kanali mwingine" sawa, kwani ukiwa brigedia general huwezi kuwa ADC wa presidar?
Wanaofahamu mambo ya inteligencia watujuze
cc. Brother GENTAMYCINE,na wengineo
Hata hivyo afande alikua ni mtu mzima tayari(umri) ilikua ni lazima apangiwe kazi nyingine apumzike pia
 
Hivi mnaolalamika mna akili sawasawa? Wanajeshi kupanda vyeo imekuwa kitu kipya na kudhani ni matayarisho ya tarehe 26 April?

Je, mnajua taratibu za kijeshi!? Afisa wa jeshi ( commissioned officer) lazima apandishwe cheo kulingana na mda aliotumikia pia kulingana na mahitaji ya kiuongozi na utendaji wa jeshi.

Eleweni kabla ya kutoa lawama.
 
Anaewapandisha cheo ni raisi. Mabeyo hapo kasoma taarifa kwaniaba ya raisi na si yeye aliewapandisha.
Yeye ameomba hao wapandishwe ili aweze kuwatumia kwenye safu yake ya uongozi
Hii ndo hasara ya kulink jeshi na siasa
 
Back
Top Bottom