zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mkuu naona tutakesha hapa ila HEAD OF STATE ni ceremonial tu ni sawa na President wa pakistan au ethiopia sasa why HEAD OF STATE uichukulie serious Canada na australia while ni jina tu??Unajua una uelewa mdogo au huelewi kabisa au unapenda kubisha uonekane na ww unajua....
The main issue here is, inter alia, whether the Queen of Englad is the Canadian Head of State or not!
Since umekubali kua ni head of state, the fact that she is ceremonial is IMMATERIAL and IRRELEVANT....
bcuz Every Constitutional Monarch is headed by a ceremonial monarch ambaye ni head of state....unlike Morocco ambapo kuna Absolute Monarch ambapo yule mfalme aliyemdanganya John Pombe atajenga uwanja wa kisasa Dodoma ndo head of state with all powers!
Pia sikusema uniletee katiba yote ya Canada nimesema lete sehemu iliyoandika kua eti ana "98%".......
Nliposema 98 per cent nimequote hapo sehem ya katiba inavyosema kwamba DG hawezi kuamua lolote mpka apate USHAURI wa waziri mkuu na mamlaka ambayo DG anaweza kufanya bila kuomba ridhaa ya waziri mkuu ni formality ya kumteua na kumtimua waziri mkuu ambayo ni procedural tu yeye haamui hatma yake
Je doesn't that make 98%