Watanzania tumefika mahali kazi za usafi wa nyumbani zinafanywa na foreigners, nimejiuliza yafuatayo:-
1) Inamaana watanzania wamejitosheleza hawahitaji kufanya kazi za nyumbani (kielimu na mengineyo)?
2) Au kilimo kimeajiri wengi?
3) Au inamaana watanzania ni wachaguzi wakazi, bora mtu akae bila kazi?
4) Au watanzania sio waaaminifu kwa kazi za nyumbani, tunaona bora tusiwaajiri?
Naomba mawazo yenu wadau.
Foreigner maana yake ni mtu aliyetoka nje ya nchi inaweza kuwa nchi yoyote sio ulaya/amerika tu mkuu...it is as simple as that...post yangu ilitaka kujua kama hii movement inaoriginate from supply side or demand side.inategemea huyo foreigner katoka nchi gani. maana kama burundi au ethiopia kuna wanaoomba kazi za ndani hawahitaji hata mshahara zaidi ya kupata msosi na malazi, sasa akitokea wa hivyo kwa nini hata wewe usimchukue. au mwezetu kuna foregner katoka amerika au ulaya umemuona anafanya kazi kwa mtu?
Watoto wa tz hawana malengo, unamwajiri msichana anakuja hana hata chupi, ukishamnunulia, akipata mafuta ya kupaka msosi mzuri miezi 2 anaanza, kuamshwa badala ya kuamka mwenyewe, atarundika nguo week nzima, ukiuliza utaambiwa nataka kwendanyumbani.anataka kuwa boss asiulizwe kwa kosa lolote.ni usumbufu mtupu. Wa nje mm binafsi nimeajiri mkenya ni miaka miwili imepita, ana malengo akitaka kwenda nyumbani anatoa taari 1 week kabla, akisema narudi lt say j3 atarudi kwa muda huo hutumii pesa kwa mambo yasiyo na manufaa. Kwa kweli sijawahi kukaa na msichana wa tz kwa muda hivi.
Mabinti wa kazi siku hizi ni kwikwi
Watoto wa tz hawana malengo, unamwajiri msichana anakuja hana hata chupi, ukishamnunulia, akipata mafuta ya kupaka msosi mzuri miezi 2 anaanza, kuamshwa badala ya kuamka mwenyewe, atarundika nguo week nzima, ukiuliza utaambiwa nataka kwendanyumbani.anataka kuwa boss asiulizwe kwa kosa lolote.ni usumbufu mtupu. Wa nje mm binafsi nimeajiri mkenya ni miaka miwili imepita, ana malengo akitaka kwenda nyumbani anatoa taari 1 week kabla, akisema narudi lt say j3 atarudi kwa muda huo hutumii pesa kwa mambo yasiyo na manufaa. Kwa kweli sijawahi kukaa na msichana wa tz kwa muda hivi.
hahhahaa huyo wako komesha kweli, ni shida hasaaa na hawa wa dada time to cross border, sijawahi kufikiria ilo maana uzalendo kwangu ni msingi ila wameshaniendesha vya kutosha.Dah mkuu juzi nimetimua mfanyakazi wa ndani, Yaani pamoja na hayo yako yeye alifikia hatua anaondoka theni ndiyo anani SMS kwamba sitokuwepo leo nimesafiri, akirudi ananuna, uliona wapi tajiri ananuniwa?