Ukweli1
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 550
- 333
Watanzania tumefika mahali kazi za usafi wa nyumbani zinafanywa na foreigners, nimejiuliza yafuatayo:-
1) Inamaana watanzania wamejitosheleza hawahitaji kufanya kazi za nyumbani (kielimu na mengineyo)?
2) Au kilimo kimeajiri wengi?
3) Au inamaana watanzania ni wachaguzi wakazi, bora mtu akae bila kazi?
4) Au watanzania sio waaaminifu kwa kazi za nyumbani, tunaona bora tusiwaajiri?
Naomba mawazo yenu wadau.
1) Inamaana watanzania wamejitosheleza hawahitaji kufanya kazi za nyumbani (kielimu na mengineyo)?
2) Au kilimo kimeajiri wengi?
3) Au inamaana watanzania ni wachaguzi wakazi, bora mtu akae bila kazi?
4) Au watanzania sio waaaminifu kwa kazi za nyumbani, tunaona bora tusiwaajiri?
Naomba mawazo yenu wadau.