Mabadiliko MMU

nazimia hii post:tape:
 
Basi tu najuta maana nimetoka kukufagilia mahali na Fynest kumbe mwenzangu hata jina langu hujui!
hivi haukuona post ya saaly anataka nimuanzishie sredi? halaf DA anaweka kauzibe.
 
kweli.
 
Afadhali umesema, manake....dah zimeridi sanaa
 
Ha ha ha ha ha namiss comments zake ha ha ha BAK acha visa.......................

Wapi DA? LOL! namiss kilemba chake jamani mkimuona mwambieni nanihii anammiss sana kule MMU! hujaanzishiwa sredi kama hii DA? Hahahahahahaha LOL!
 
Basi tu najuta maana nimetoka kukufagilia mahali na Fynest kumbe mwenzangu hata jina langu hujui!
Dah! Ankal kumbe kaharibu mimi nilikuwa namfanyia promo kumbe kazi bure
 
Hahahahahah sema kweli DA ni kilemba tu au kuna vingine zaidi wanavyovipenda!? LOL!
Huoni Dena alivyo natural mtanzania sio hawa wanaochukua picha za mablack american na kuweka.

Dena unanidai mia tano sijakuzimikia/kudondokea lakini napenda unavyotetea lugha ya taifa kutumika MMU (POLISI WA LUGHA) lol!
 
Nakuzimia DA....soma PM yako kule na unijibu.........usipojibu nakuanzishia thread.
 
Daahh
haya sis
Umesikika loud and clear.
mmmmmmhhhhhh siku ya kuzaliwa na siku ya. ..
 
Mhhhh DA,

Hutaki tunaokuzimia au kumzimia Lizzy n.k tuseme?

Umesikika mdogo wangu. Laiti tungekuwa na masikio!!

Mzee DC
 
Mhhhh DA,

Hutaki tunaokuzimia au kumzimia Lizzy n.k tuseme?

Umesikika mdogo wangu. Laiti tungekuwa na masikio!!

Mzee DC
Mzee DC watu watoe madukuduku yao PieM ndo inakua na maana!Kuweka hapa jamvini ni kutaka sifa tu!
 
Mzee DC watu watoe madukuduku yao PieM ndo inakua na maana!Kuweka hapa jamvini ni kutaka sifa tu!

Mbona mnakuwa na roho mbaya hivyo Lizzy, publicity inaleta satisfaction lakini au huamini hivyo?

Mzee DC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…