Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Mbona mnakuwa na roho mbaya hivyo Lizzy, publicity inaleta satisfaction lakini au huamini hivyo?
Mzee DC.
Hehehehe alafu kesho anasifia wengine 10?Where is the fun in that?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnakuwa na roho mbaya hivyo Lizzy, publicity inaleta satisfaction lakini au huamini hivyo?
Mzee DC.
Hehehehe alafu kesho anasifia wengine 10?Where is the fun in that?
Mamaa dena naona umeamua kuvua kilemba kabisa, umenena vyema mwaya
Huoni Dena alivyo natural mtanzania sio hawa wanaochukua picha za mablack american na kuweka.
Dena unanidai mia tano sijakuzimikia/kudondokea lakini napenda unavyotetea lugha ya taifa kutumika MMU (POLISI WA LUGHA) lol!
Kila kitu kina sura nzuri na mbaya pia.. Nisingependa watu wafungwe midomo ila waachwe wapime uzito wa yale wanayotaka kuyasema na wakati huo wasijifikirie wao wenyewe tu bali na wenzao waliowazunguka.
Binafsi sina hakika kama watu wanawafikiria wenzao kabla ya kutoa mada zao. Hilo ndilo tatizo kubwa ambalo tunahitaji kulisemea over and over ili tuwe responsible and accountable kwa yale tunayoyaleta hapa jamvini!!
Eti sis
MAHUSIANO
MAPENZI
URAFIKI
Kuna ubaya gani kamahiyo rafiki niliempata
hapa JF nikimrushia ka thread nakumsifia kidogo
kwa kuzuri alicho fanya na wengine wanaompenda wajumuike..
matatizo yanaletwa kila siku kwanini tusifurahishane kidoncho tu..
Nway ukimwona TF
muulize kwa nini nimekununia
na ntafanya nini na wewe baaday e
I still love u tho..
peace
Ha ha ha ha usijali we rusha tu lakini wakounayemzimiba tunajua ni TF
Watu wengine tunapenda tukimzimia mtu watu wengine wajue, Kwa mfano mimi nimekuzimia sana DA nitaku-pm.Wapendwa habari za jioni.!!!
Hapa kuna kitu nimekigundua JF especially MMU.
Watu tulitoa ushauri wa kuanzishwa jukwaa la kutafuta wachumba maana hizo thread zilizidi sana na kuudhi kwa kiasi fulani hivi. watu wakaelewa na kasi ikapungua kabisa.
Sasa naona kuna jipya limeibuka tena "Namzimia DA", "Naizimia Avatar yake", "Napenda anavyochangangia" nk (Kwa wale waliowahi kunianzishia thread samahani sana mnisamehe sina nia mbaya bali kuwekana sawa)
Jamani kama unampenda mtu, comments, avatar, na mengine mengi yake kindly hebu mtumie PM basi ili kupunguza thread zisizotaka ushauri.
Tuwe na zile za kuombana ushauri na kusaidiana wapendwa katika mahusiano, mapenzi na urafiki .
Samahani kama nimewakwaza wale wote mliowahi kuanzisha thread kama hizi. Ila jamani tuambizane ka ukweli saa nyingine..................
Kind Regards
Dena Amsi
Mimi ninakataa unaweka self defence Machenism??Bahati nzuri au mbaya sijawahi kumuanzishia mtu thread ila kuchangia nimewahi!!Ila mtu akiwa ameona mtu fulani ndani ya JF Ndiye Lol Model wake!! tatizo likowapi??Humu kila mtu anamtu anaye mzimia, labda kuchati naye, kumtamka kila wakati, kutaniana, vitu kama hivyo utasema nimbaya??japo na wewe nimtazamo wako sipingi mawazo yako ila na mimi nimeweka yakwangu!Wapendwa habari za jioni.!!!
Hapa kuna kitu nimekigundua JF especially MMU.
Watu tulitoa ushauri wa kuanzishwa jukwaa la kutafuta wachumba maana hizo thread zilizidi sana na kuudhi kwa kiasi fulani hivi. watu wakaelewa na kasi ikapungua kabisa.
Sasa naona kuna jipya limeibuka tena "Namzimia DA", "Naizimia Avatar yake", "Napenda anavyochangangia" nk (Kwa wale waliowahi kunianzishia thread samahani sana mnisamehe sina nia mbaya bali kuwekana sawa)
Jamani kama unampenda mtu, comments, avatar, na mengine mengi yake kindly hebu mtumie PM basi ili kupunguza thread zisizotaka ushauri.
Tuwe na zile za kuombana ushauri na kusaidiana wapendwa katika mahusiano, mapenzi na urafiki .
Samahani kama nimewakwaza wale wote mliowahi kuanzisha thread kama hizi. Ila jamani tuambizane ka ukweli saa nyingine..................
Kind Regards
Dena Amsi
Wapendwa habari za jioni.!!!
Hapa kuna kitu nimekigundua JF especially MMU.
Watu tulitoa ushauri wa kuanzishwa jukwaa la kutafuta wachumba maana hizo thread zilizidi sana na kuudhi kwa kiasi fulani hivi. watu wakaelewa na kasi ikapungua kabisa.
Sasa naona kuna jipya limeibuka tena "Namzimia DA", "Naizimia Avatar yake", "Napenda anavyochangangia" nk (Kwa wale waliowahi kunianzishia thread samahani sana mnisamehe sina nia mbaya bali kuwekana sawa)
Jamani kama unampenda mtu, comments, avatar, na mengine mengi yake kindly hebu mtumie PM basi ili kupunguza thread zisizotaka ushauri.
Tuwe na zile za kuombana ushauri na kusaidiana wapendwa katika mahusiano, mapenzi na urafiki .
Samahani kama nimewakwaza wale wote mliowahi kuanzisha thread kama hizi. Ila jamani tuambizane ka ukweli saa nyingine..................
Kind Regards
Dena Amsi
Mimi ninakataa unaweka self defence Machenism??Bahati nzuri au mbaya sijawahi kumuanzishia mtu thread ila kuchangia nimewahi!!Ila mtu akiwa ameona mtu fulani ndani ya JF Ndiye Lol Model wake!! tatizo likowapi??Humu kila mtu anamtu anaye mzimia, labda kuchati naye, kumtamka kila wakati, kutaniana, vitu kama hivyo utasema nimbaya??japo na wewe nimtazamo wako sipingi mawazo yako ila na mimi nimeweka yakwangu!
Nipo sweety naogopa foleni,unaongoza kwa kuzimikiwa/kudondokewa hapa MMU tukipangana hata foleni ya Babu haifui dafu,nini siri yako Dena ?Ha ha ha ha ulichelewa wapi wewe bana................
DenaWapendwa habari za jioni.!!!
Hapa kuna kitu nimekigundua JF especially MMU.
Watu tulitoa ushauri wa kuanzishwa jukwaa la kutafuta wachumba maana hizo thread zilizidi sana na kuudhi kwa kiasi fulani hivi. watu wakaelewa na kasi ikapungua kabisa.
Sasa naona kuna jipya limeibuka tena "Namzimia DA", "Naizimia Avatar yake", "Napenda anavyochangangia" nk (Kwa wale waliowahi kunianzishia thread samahani sana mnisamehe sina nia mbaya bali kuwekana sawa)
Jamani kama unampenda mtu, comments, avatar, na mengine mengi yake kindly hebu mtumie PM basi ili kupunguza thread zisizotaka ushauri.
Tuwe na zile za kuombana ushauri na kusaidiana wapendwa katika mahusiano, mapenzi na urafiki .
Samahani kama nimewakwaza wale wote mliowahi kuanzisha thread kama hizi. Ila jamani tuambizane ka ukweli saa nyingine..................
Kind Regards
Dena Amsi