Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,192
- 1,972
Kelele za SJMTZ hazitukoseshi usingizi wa karafuu huko visiwani!Katiba ni yetu wenyewe na tumeibadili wenyewe...nawashangaa ndugu zetu bado ati anaita Tanzania Bara badala ya Tanganyika!
This was suppose to be a wake up call!:smile-big:
Kwani Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ilienda wapi baada ya Muungano? Kumbuka kifungu cha 3 cha Sheria ya Mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 yanasema kwamba:
Zanzibar ni nchi ambayo mipaka yake ni eneo la visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na visiwa vidogovidogo ambavyo vinaizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.