Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Habari za muda huu Wana JF!

Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe.

Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa, lakini hivi karibuni imetokea ghafla tu. Watu walikuwa wananisema mno kwa kulewa pombe, ila sasa hivi hata wezangu wananiona sifai kisa wakiniita Club naagiza Soda au Energy drink.

Je, hiyo ni hali ya kawaida au kuna ujanja nmefanyiwa?
 
kawaida..
ila itakuwa unakunywa pombe ya aina moja ndio maana umekinai yani mzunguko wako wa unywaji sidhani kama unavuka hapa "bia na liquor(vinywaji vikali)".
huo ndio unywaji mwingi wa watanzania.

Pombe zipo za aina nyingi sikuhizi naona walau wabongo wameanza kunywa na wine pia!.
ila sio wanywaji wa cocktails!,sasa hapa ukikutana na mtaalum atakuchanganyia pombe kwenye cocktail usihisi kama kuna pombe ila ukalewa tu!..
we unakunywa tu halafu stimu inapanda tu shangaa ushaanza kuchangamka tu..
unywaji wa hizi liquor kavukavu husabababisha mtu kukinai haraka haswa baadhi ya hivi vinywaji ukizingatia huwa ni vikali..

wine pia kuna red,rose na white hizi hufaa sana kunywa mtu akishakula au wakati akiwa anakula japo kwa wengine kulewa ni wagumu maana alcohol yake huwa haizidi 20%...!
zipo ambazo ni dry na zipo ambazo ni sweet so uamuzi ni wakwako ktk ubadilishaji si rahisi kukinai...

narudi tena kwenye unywaji wa liquor,hizi zipo nyingi kuna kali sana na kuna za wastani na kuna nyengine ni tamu(liqueurs)..
hizi tamu unakuta ni very smooth hukunji sura kumeza!..😂
tena ukichanganya na kinywaji chengine ndo husikii kabisa ni kulewa tu!.

elimu ya pombe ni pana!.

Zingatieni hili "Unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya zetu".
mwisho tafuteni hela pombe nzuri zipo sio unakunywa pombe mpk jicho linataka kukutoka!..😂
 
kawaida..
ila itakuwa unakunywa pombe ya aina moja ndio maana umekinai yani mzunguko wako wa unywaji sidhani kama unavuka hapa "bia na liquor(vinywaji vikali)".
huo ndio unywaji mwingi wa watanzania.

Pombe zipo za aina nyingi sikuhizi naona walau wabongo wameanza kunywa na wine pia!.
ila sio wanywaji wa cocktails!,sasa hapa ukikutana na mtaalum atakuchanganyia pombe kwenye cocktail usihisi kama kuna pombe ila ukalewa tu!..
we unakunywa tu halafu stimu inapanda tu shangaa ushaanza kuchangamka tu..
unywaji wa hizi liquor kavukavu husabababisha mtu kukinai haraka haswa baadhi ya hivi vinywaji ukizingatia huwa ni vikali..

wine pia kuna red,rose na white hizi hufaa sana kunywa mtu akishakula au wakati akiwa anakula japo kwa wengine kulewa ni wagumu maana alcohol yake huwa haizidi 20%...!
zipo ambazo ni dry na zipo ambazo ni sweet so uamuzi ni wakwako ktk ubadilishaji si rahisi kukinai...

narudi tena kwenye unywaji wa liquor,hizi zipo nyingi kuna kali sana na kuna za wastani na kuna nyengine ni tamu(liqueurs)..
hizi tamu unakuta ni very smooth hukunji sura kumeza!..[emoji23]
tena ukichanganya na kinywaji chengine ndo husikii kabisa ni kulewa tu!.

elimu ya pombe ni pana!.

Zingatieni hili "Unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya zetu".
mwisho tafuteni hela pombe nzuri zipo sio unakunywa pombe mpk jicho linataka kukutoka!..[emoji23]
Beer zote nazitia kasoro tu yaani alieniroga jau
 
Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Hongera sana mkuu, sasa walevi watukanaji watapungua jf.
Hongera sana
 
kawaida..
ila itakuwa unakunywa pombe ya aina moja ndio maana umekinai yani mzunguko wako wa unywaji sidhani kama unavuka hapa "bia na liquor(vinywaji vikali)".
huo ndio unywaji mwingi wa watanzania.

Pombe zipo za aina nyingi sikuhizi naona walau wabongo wameanza kunywa na wine pia!.
ila sio wanywaji wa cocktails!,sasa hapa ukikutana na mtaalum atakuchanganyia pombe kwenye cocktail usihisi kama kuna pombe ila ukalewa tu!..
we unakunywa tu halafu stimu inapanda tu shangaa ushaanza kuchangamka tu..
unywaji wa hizi liquor kavukavu husabababisha mtu kukinai haraka haswa baadhi ya hivi vinywaji ukizingatia huwa ni vikali..

wine pia kuna red,rose na white hizi hufaa sana kunywa mtu akishakula au wakati akiwa anakula japo kwa wengine kulewa ni wagumu maana alcohol yake huwa haizidi 20%...!
zipo ambazo ni dry na zipo ambazo ni sweet so uamuzi ni wakwako ktk ubadilishaji si rahisi kukinai...

narudi tena kwenye unywaji wa liquor,hizi zipo nyingi kuna kali sana na kuna za wastani na kuna nyengine ni tamu(liqueurs)..
hizi tamu unakuta ni very smooth hukunji sura kumeza!..[emoji23]
tena ukichanganya na kinywaji chengine ndo husikii kabisa ni kulewa tu!.

elimu ya pombe ni pana!.

Zingatieni hili "Unywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya zetu".
mwisho tafuteni hela pombe nzuri zipo sio unakunywa pombe mpk jicho linataka kukutoka!..[emoji23]
Hadi jag"ermeista inaninukia kama whitedent herbal
 
Mimi wana wananisemaga sana ila sijali kwa sababu siishi kwa kusikiliza wao wanatakaje, naishi nitakavyo mimi. Pombe huwa nakunywa nikiamua naweza zungusha raundi nikaishia kunywa maji tu.
Mimi mpaka wananiita shoga kabisa.

Lakini ndo hivyo nishaamua, nipo sober tokea May 2023.

Pombe ina hasara kuliko faida kwa kweli.
 
Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Achana na energy drinks
 
Hadi jag"ermeista inaninukia kama whitedent herbal
yeah hiyo ni moja ya "herbal liqueur" wengi hupenda kuchanganya na red bull..
kama mfuko umechangamka tafuta hii mkuu sidhani kama utajuta radha nzuri,harufu nzuri ikikushinda na hii kawe mchungaji tu..😂
16029648191518.png
 
Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Ananyonyesha?
 
Back
Top Bottom