Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangilia piga kelele msifu Bwana.Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe
Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK
Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Bei Gani?yeah hiyo ni moja ya "herbal liqueur" wengi hupenda kuchanganya na red bull..
kama mfuko umechangamka tafuta hii mkuu sidhani kama utajuta radha nzuri,harufu nzuri ikikushinda na hii kawe mchungaji tu..[emoji23]
View attachment 3118753
Ukitukanwa na mlevi huwa tunasema...mwache amelewa🤣Ukileta usenge wa bibi tukinao unatukanwa tu
namaanisha vijana wanalazimishana kufanya mambo ya ajabu kwa kudhalilishanaKwaiyo kwenye balehe ulifilwa?
we tafuta maduka ya pombe huko unapokaa ulizia ukiiona ila haiwezi kuzidi hamsini elfu! bei hutofautiana sehemu na sehemu..Bei Gani?
Mlevi wa kutegemewa au sio 😀😀😀😀Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe
Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK
Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
😂 hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabuUkiacha pombe walevi wanakuchukia wanakuonea wivu kwakua umefanikiwa kutoka kwenye kundi lao la wapumbavu
mkuu usishangae hawa watu wapo huyu ukute akikimbia mezani basi wengine wote mpo hoi...🤣Mlevi wa kutegemewa au sio 😀😀😀😀
Mi siwezi kuwa mpumbavu na kuwa mwanachama wa ccm au kuwa mjinga na kuwa mwanachama wa chadema.Sawa jitahidi na wewe utoke CCM
Ubaya wa mlevi ni kuwa akilewa huwa anajihisi yuko makini ila sisi tunamuona ndo tunajua hali aliyonayo😂 hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabu
mtu anaekunywa pombe naimani ni mtu anaetakiwa ajimudu sana kisaikolojia ukishindwa hapo basi we hujiwezi, sijawahi kuyumba,kutukana mtu,kupiga mazogo kisa pombe kwanza nikiweka vyombo ndo nakuwa makini mno cv zishishuke mi nafikiri pombe inawatu wake!.