Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Shangilia piga kelele msifu Bwana.

Hongera kwa neema iliyokukuta mkuu..
Hope umeshatoa sadaka ya shukrani..

maana kama nimiezi mitatu nina hakika unamengi mazuri yakushuhudia tangu uwe sober.
 
20240927_091352.jpg
 
Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Mlevi wa kutegemewa au sio 😀😀😀😀
 
Ukiacha pombe walevi wanakuchukia wanakuonea wivu kwakua umefanikiwa kutoka kwenye kundi lao la wapumbavu
😂 hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabu
mtu anaekunywa pombe naimani ni mtu anaetakiwa ajimudu sana kisaikolojia ukishindwa hapo basi we hujiwezi, sijawahi kuyumba,kutukana mtu,kupiga mazogo kisa pombe kwanza nikiweka vyombo ndo nakuwa makini mno cv zishishuke mi nafikiri pombe inawatu wake!.
 
Mlevi wa kutegemewa au sio 😀😀😀😀
mkuu usishangae hawa watu wapo huyu ukute akikimbia mezani basi wengine wote mpo hoi...🤣
mlevi wakutegemewa mambo yakimshinda nyie wengine jueni ndo mmeisha!
 
😂 hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabu
mtu anaekunywa pombe naimani ni mtu anaetakiwa ajimudu sana kisaikolojia ukishindwa hapo basi we hujiwezi, sijawahi kuyumba,kutukana mtu,kupiga mazogo kisa pombe kwanza nikiweka vyombo ndo nakuwa makini mno cv zishishuke mi nafikiri pombe inawatu wake!.
Ubaya wa mlevi ni kuwa akilewa huwa anajihisi yuko makini ila sisi tunamuona ndo tunajua hali aliyonayo
 
Back
Top Bottom