Karungi baby girl
JF-Expert Member
- Oct 10, 2023
- 301
- 380
yeah it's my nameJina lako si baby girl
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah it's my nameJina lako si baby girl
hapana umechelewaNjoo pm sasa
Hali hiyo inatokana na maombi,ndugu na jamaa tulikuwa tunakuombea usiku na mchana kwa Mungu! Maana ulipozaliwa tuu,ulipewa nyonyo unyonye!Ghafla unapiga mchupa,ndio hivyo mkuu.Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe
Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK
Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Umeingia kwenye energy drink?!!!Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe
Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK
Je hiyo ni hali ya kawaida au kuna Ujanja nmefanyiwa?
mnoo aise. Sasa ataenjoi wap? nan achangie kias cha kodi aliokua anachangia kwa taifa? ni huzuni kubwa kupungukiwa na mwanachama mmoja.Watu wabaya sana
NilishakupongezaMimi nmeacha
Weka nambaNibless sasa 2k nikagonge MOenergy[emoji16]
kinywaji wapi hiyo na sh ngapi?
We chama Gani Sasa!?Mi siwezi kuwa mpumbavu na kuwa mwanachama wa ccm au kuwa mjinga na kuwa mwanachama wa chadema.
Huo ni ujinga wenu wafia vyama
Nipe dakika chache tu itasoma..ingia pmNmeshakuwekea mtumishi Fanya jambo
Utakuwa umewekewa dawa pasipo kujua. Bro wangu alikuwa mlevi mbwa anakunywa hadi anaenedhs gari inaanguka wka mtaro anasinzia. Mkewe kamshauri akakubali, akataftiwa dawa ya kukinai pombe akiiona anahisi kutapika. Akatumia hali hiyo ikadumu kwa miaka mitatu akarudia ulevi.Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe
Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK
Je hiyo ni hali ya kawaida au kuna Ujanja nmefanyiwa?
AaKama ni maombi najua ni ya mama yangu mlezi SARAH
nimefatilia andiko lako kwamakini nimegundua tatizo kwanini umeikinai pombe😁😁😁Nibless sasa 2k nikagonge MOenergy[emoji16]