Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni Hali ya kawaida au Kuna Ujanja nmefanyiwa?
Hali hiyo inatokana na maombi,ndugu na jamaa tulikuwa tunakuombea usiku na mchana kwa Mungu! Maana ulipozaliwa tuu,ulipewa nyonyo unyonye!Ghafla unapiga mchupa,ndio hivyo mkuu.
 
Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni hali ya kawaida au kuna Ujanja nmefanyiwa?
Umeingia kwenye energy drink?!!!
 
mnoo aise. Sasa ataenjoi wap? nan achangie kias cha kodi aliokua anachangia kwa taifa? ni huzuni kubwa kupungukiwa na mwanachama mmoja.
Ila ngoja nikaze tu ivi ivi
 
Habari za mda huu Wana Jf
Kuna Hali ya mabadiriko imenitokea Kwa kipindi Cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe

Niikiona pombe naikinai najisikia kutapika na sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa hivi karibuni imetokea ghafla tu watu walikuwa wananiaminia mno Kwa kulewa pombe ila saivi hata company zangu wananiona snitch kisa wakiniita naagiza CLUB SODA au ENERGY DRINK

Je hiyo ni hali ya kawaida au kuna Ujanja nmefanyiwa?
Utakuwa umewekewa dawa pasipo kujua. Bro wangu alikuwa mlevi mbwa anakunywa hadi anaenedhs gari inaanguka wka mtaro anasinzia. Mkewe kamshauri akakubali, akataftiwa dawa ya kukinai pombe akiiona anahisi kutapika. Akatumia hali hiyo ikadumu kwa miaka mitatu akarudia ulevi.
amamsumbua wee, miezi miwili iliyopita kaamua mwenyewe aitumie tena na sasa hivi hajagusa pombe. Ila watu wengi huwa wanawekewa pasipo wao kujua kuwa wamewekewa.
 
Yaani unatukataa wajomba tulikesha kukuombea!Ila nimefurahi kwa ushuhuda huu,kunywa juisi,maji na maziwa,huko kwenye pombe potezea.
Kama ni maombi najua ni ya mama yangu mlezi SARAH
Aa
 
Nibless sasa 2k nikagonge MOenergy[emoji16]
nimefatilia andiko lako kwamakini nimegundua tatizo kwanini umeikinai pombe😁😁😁

nakushauri endelea kuikinai hivyohivyo tusije tukakukosa(usije kuvuliwa ubingwa nawahuni)

kaza mwenetu hadi hali itakapo tulia
 
Back
Top Bottom