Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unazingua jembe kwanz kama upo dar karbu na mitaa ya sinza emu njoo hapa maeda tupate mbili tatuIla ngoja nikaze tu ivi ivi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hongera sana mkuu, sasa walevi watukanaji watapungua jf.
Hongera sana
Nipo mkuuUpo master[emoji16]
Oooh haleluyah.....kwahiyo sahivi uko wapi?Habari za muda huu Wana JF!
Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe.
Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa, lakini hivi karibuni imetokea ghafla tu. Watu walikuwa wananisema mno kwa kulewa pombe, ila sasa hivi hata wezangu wananiona sifai kisa wakiniita Club naagiza Soda au Energy drink.
Je, hiyo ni hali ya kawaida au kuna ujanja nmefanyiwa?
Duka la mangi unapiga zako mirinda nyeusi au sio.....Saivi nipo tu apa
Huenda Mungu anakuandaa kwa jambo flani hiv.Ila siyo kukuchukua🤣Habari za muda huu Wana JF!
Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe.
Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa, lakini hivi karibuni imetokea ghafla tu. Watu walikuwa wananisema mno kwa kulewa pombe, ila sasa hivi hata wezangu wananiona sifai kisa wakiniita Club naagiza Soda au Energy drink.
Je, hiyo ni hali ya kawaida au kuna ujanja nmefanyiwa?
we yaan mi ninunue pombe na mm sinywi hiyo roho sinaMimi wana wananisemaga sana ila sijali kwa sababu siishi kwa kusikiliza wao wanatakaje, naishi nitakavyo mimi. Pombe huwa nakunywa nikiamua naweza zungusha raundi nikaishia kunywa maji tu.
sidhan kama wanakuita shoga kwa ajili ya kuacha pombe. Mi we nakufaham acha hyo tabia ya kumchunguza dudu tukisimama we macho kodo kwene zipu kwann lakini au ndo ushambaMimi mpaka wananiita shoga kabisa.
Lakini ndo hivyo nishaamua, nipo sober tokea May 2023.
Pombe ina hasara kuliko faida kwa kweli.
Wengine inawezekana kuna jamaa yangu ni muislam swala 5 huwa analipia kitimoto na bia za kutosha ila yeye hali wala hanywi kabisa hasa kipindi cha mfungo. Bia huwa anakunywa.we yaan mi ninunue pombe na mm sinywi hiyo roho sina
Niunganishe naeWengine inawezekana kuna jamaa yangu ni muislam swala 5 huwa analipia kitimoto na bia za kutosha ila yeye hali wala hanywi kabisa hasa kipindi cha mfungo. Bia huwa anakunywa.
Ili iwejeNiunganishe nae
Wafahamiane wale bia na kitimoto!Ili iweje
si umesema uwa ananunua kitimoto na bia hata kama yy hanywi😂😂😂Ili iweje