Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Utakuwa umewekewa dawa pasipo kujua. Bro wangu alikuwa mlevi mbwa anakunywa hadi anaenedhs gari inaanguka wka mtaro anasinzia. Mkewe kamshauri akakubali, akataftiwa dawa ya kukinai pombe akiiona anahisi kutapika. Akatumia hali hiyo ikadumu kwa miaka mitatu akarudia ulevi.
amamsumbua wee, miezi miwili iliyopita kaamua mwenyewe aitumie tena na sasa hivi hajagusa pombe. Ila watu wengi huwa wanawekewa pasipo wao kujua kuwa wamewekewa.
Inapatikana wapi hiyo dawa mkuu, maana wahanga ni wengi
 
Utakuwa umewekewa dawa pasipo kujua. Bro wangu alikuwa mlevi mbwa anakunywa hadi anaenedhs gari inaanguka wka mtaro anasinzia. Mkewe kamshauri akakubali, akataftiwa dawa ya kukinai pombe akiiona anahisi kutapika. Akatumia hali hiyo ikadumu kwa miaka mitatu akarudia ulevi.
amamsumbua wee, miezi miwili iliyopita kaamua mwenyewe aitumie tena na sasa hivi hajagusa pombe. Ila watu wengi huwa wanawekewa pasipo wao kujua kuwa wamewekewa.
Sasa sioni wa karibu yangu mwenye huo upendo
 
Yaani unatukataa wajomba tulikesha kukuombea!Ila nimefurahi kwa ushuhuda huu,kunywa juisi,maji na maziwa,huko kwenye pombe potezea.

Aa
Mama angu mlezi ananipenda mno ni mwana maombi
 
nimefatilia andiko lako kwamakini nimegundua tatizo kwanini umeikinai pombe[emoji16][emoji16][emoji16]

nakushauri endelea kuikinai hivyohivyo tusije tukakukosa(usije kuvuliwa ubingwa nawahuni)

kaza mwenetu hadi hali itakapo tulia
Ubingwa upi?
 
Ukiacha pombe walevi wanakuchukia wanakuonea wivu kwakua umefanikiwa kutoka kwenye kundi lao la wapumbavu
Pombe hajawai kua shida shida ni mtu mwenyewe.
For years wazungu wamekunywa wanakunywa na wamefanya vumbuzi nyingi mpaka hiyo simu unayo itumia kutype hapa jukwaani.
Drink responsible tena jion baada ya kazi kunywa for recreational purposes unakunywa kwa kipimo sio una mis use/ over drinking
Pombe ni kwaajir ya machampion/ great thinkers

NB.
"KAMA HUJAWAI KUTUMIA KILEVI CHOCHOTE BASI JUA HAUJAWAI KUISHI"
 
😂 hao ni walevi ambao hawana elimu,utu na ustaarabu
mtu anaekunywa pombe naimani ni mtu anaetakiwa ajimudu sana kisaikolojia ukishindwa hapo basi we hujiwezi, sijawahi kuyumba,kutukana mtu,kupiga mazogo kisa pombe kwanza nikiweka vyombo ndo nakuwa makini mno cv zishishuke mi nafikiri pombe inawatu wake!.
Tena wanywaji wengi hatuna unafki pia hata madili tunashirikiana mno na kupeana michongo.
 
Pombe hajawai kua shida shida ni mtu mwenyewe.
For years wazungu wamekunywa wanakunywa na wamefanya vumbuzi nyingi mpaka hiyo simu unayo itumia kutype hapa jukwaani.
Drink responsible tena jion baada ya kazi kunywa for recreational purposes unakunywa kwa kipimo sio una mis use/ over drinking
Pombe ni kwaajir ya machampion/ great thinkers

NB.
"KAMA HUJAWAI KUTUMIA KILEVI CHOCHOTE BASI JUA HAUJAWAI KUISHI"
😁😁Bwana ,Niels Bohr mwanafizikia nguli.
 
Pombe hajawai kua shida shida ni mtu mwenyewe.
For years wazungu wamekunywa wanakunywa na wamefanya vumbuzi nyingi mpaka hiyo simu unayo itumia kutype hapa jukwaani.
Drink responsible tena jion baada ya kazi kunywa for recreational purposes unakunywa kwa kipimo sio una mis use/ over drinking
Pombe ni kwaajir ya machampion/ great thinkers

NB.
"KAMA HUJAWAI KUTUMIA KILEVI CHOCHOTE BASI JUA HAUJAWAI KUISHI"
Walevi wasiache pombe ili huku mtaani tusikose watu wa kuwadharau
 
Back
Top Bottom