Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Mabadiliko ya Ghafla: Kuikinai pombe kutoka kuwa mlevi wa kupindukia

Mimi mpaka wananiita shoga kabisa.

Lakini ndo hivyo nishaamua, nipo sober tokea May 2023.

Pombe ina hasara kuliko faida kwa kweli.
Nyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE.
 
Nyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE
mimi nafanya kwa ajili ya afya
 
Pia inasemekana wine inaongeza uwezo wa kuwa na kumbukumbu 🤔
Washindi wa vita na wafalme wa zamani walitumia Sana.

Mfano ukiangalia historia za ancients Korean utaona hio culture kwa wafalme wao.

Na hata huku POMBE ni busara (wisdom)

Alcohol=Wisdom
 
Habari za muda huu Wana JF!

Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe.

Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa, lakini hivi karibuni imetokea ghafla tu. Watu walikuwa wananisema mno kwa kulewa pombe, ila sasa hivi hata wezangu wananiona sifai kisa wakiniita Club naagiza Soda au Energy drink.

Je, hiyo ni hali ya kawaida au kuna ujanja nmefanyiwa?
Una mke?

Tumia hali hiyo kama fursa ya kuiacha pombe mazima, pombe haifai.

Ingawa utasumbuka katika kipindi hiki cha mpito, tafuta shughuli ya kufanya ili kujiweka busy.
 
Nyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE.
Shida wengine wanafikiri kumaliza kreti au mizinga 3 ya konyagi (faru john) ni sifa
 
Nyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE.
Ukizidisha tu mkuu
 
Back
Top Bottom