Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Sawa mkuu.Walevi wasiache pombe ili huku mtaani tusikose watu wa kuwadharau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.Walevi wasiache pombe ili huku mtaani tusikose watu wa kuwadharau
Nyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?Mimi mpaka wananiita shoga kabisa.
Lakini ndo hivyo nishaamua, nipo sober tokea May 2023.
Pombe ina hasara kuliko faida kwa kweli.
mimi nafanya kwa ajili ya afyaNyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE
Mkuu average minds haziwezi KUELEWA hii hoja Ila GREAT MINDS wanaelewa😁😁Bwana ,Niels Bohr mwanafizikia nguli.
Vizuri Sana mkuumimi nafanya kwa ajili ya afya
Pia inasemekana wine inaongeza uwezo wa kuwa na kumbukumbu 🤔Mkuu average minds haziwezi KUELEWA hii hoja Ila GREAT MINDS wanaelewa
Watu wanao tumia vilevi kwa kias wanakua na akili shap Sana kuliko average mind.
Kunywa kwa kipimo Tena jion baada ya kazi au siku za mapumziko.
😊😊 Salam zimefika mkuu..pia na wewe msalimie shemeji yetu.msalimie shemeji
kwa sasa +255, tanzania
well come to my partyJina lako tu Lina onesha unapenda trendings things okay it's your thoughts
ana hustle kutafuta maisha😊😊 Salam zimefika mkuu..pia na wewe msalimie shemeji yetu.
Mkuu, dogo business intelligent sikuizi yupo wap au ka change ID.
Washindi wa vita na wafalme wa zamani walitumia Sana.Pia inasemekana wine inaongeza uwezo wa kuwa na kumbukumbu 🤔
ana hustle kutafuta maisha
anasema siku hizi yupo twitter zaidi
Hizo energy drinks siku hizi zinanywewa kama juice huku uswahiliniAchana na energy drinks
Una mke?Habari za muda huu Wana JF!
Kuna hali ya mabadiliko imenitokea kwa kipindi cha miezi mitatu sasa sijanywa pombe.
Nikiiona pombe, naikinai na najisikia kutapika. Sikuwa na wazo la kuacha pombe kabisa, lakini hivi karibuni imetokea ghafla tu. Watu walikuwa wananisema mno kwa kulewa pombe, ila sasa hivi hata wezangu wananiona sifai kisa wakiniita Club naagiza Soda au Energy drink.
Je, hiyo ni hali ya kawaida au kuna ujanja nmefanyiwa?
Shida wengine wanafikiri kumaliza kreti au mizinga 3 ya konyagi (faru john) ni sifaNyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE.
Ukizidisha tu mkuuNyie wenzetu mnakunywaga pombe gani?
Mpaka zinawaletea hasara na majuto ivyo..
Kula shiba vizuri kunywa maji ya kutosha ukipiga hata Hanson choice Ile ndogo au konyagi ndogo inatosha una pumzika zako
Unaweka mipango yako sawa unatengeneza deals Tena jion baada ya kazi au weekend
Epuka makundi na na makampani za ajab ajab
Jali familia yako na wanao kuzunguka show love kwao..
Pombe haijawai kua tatizo ni watu wenyewe ndio tatizo
Wengi TU wanakunywa na wanafanya vya maana
Ukiona unakua addicted au unafanya Mambo ya ajab ni Bora kuacha POMBE.