Mabadiliko ya hedhi.

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Naomba kujulishwa kuhusu hili. Ninapata maumivu makali sana ya tumbo, kiuno na miguu wakati wa hedhi na nisipokunywa dawa maumivu haya hunisababishia kutapika sana kila ninachokula na hata kuzimia na ninapata mvurugiko wa siku zangu za mzunguko. Je hili ni tatizo au hali ya kawaida ya maumbile? Na je baadae halitaniletea matatizo pale nitakapotaka kupata mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…