mabadiliko ya joto la mwili pasipo ugonjwa

mabadiliko ya joto la mwili pasipo ugonjwa

Ernest Da Vinci

Senior Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
115
Reaction score
28
mzizi mkavu kama upo kaka have a much concern
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30,tatizo langu ni kwamba mwili wangu uko so hot most of the time hata hivyo kuna wakati huwa temp inachange nakuwa wa baridi hasa nikitembea kwenye ubaridi,yani mpaka najihisi kuwa nawezakuwa na tabia za kireptilia. mkuu nomba unijuze inaweza ikawa ni kitu gani hii
na kwa wanajamvi wenye kufahamu tafadhali,nawasilisha
 
Hormonal changes
Nenda hospital
Pole
 
Back
Top Bottom