Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
Wakati Katiba Mpya inaandikwa kama ningelikuwepo kwenye mazingira hayo, ningependekeza kuwepo na Mihimili minne katika Tz kwa jinsi mambo yanavyoenda tangu baada ya awamu ya kwanza ya uongozi wa nchi, yaani mitifuano ya kisiasa ambayo haina afya kwa ustawi wa taifa.
Mhimili wa nne ungekuwa ni Jeshi, kwa jinsi hiyo Jeshi lingeondoka kwenye siasa 100% kama Judiciary isivyokuwa kwenye siasa 100%. Hivi sasa Jeshi halipo kwenye siasa kinadharia tu.
Bora tukalipa Jeshi hadhi ya Mhimili wa nne kwasababu kwa mfumo uliopo hivi sasa ni kwamba linapopindua serikali kwa mfano, maana yake ni kuwa lina-control executive ambayo pia ni Mhimili wa kisiasa kama ilivyo Legislature kasoro Judiciary, hivyo basi kumbe Jeshi likichukuwa control ya executive kwa mapinduzi basi linakuwa limeingia kwenye siasa.
Ningependekeza Mhimili wa nne uwe ni Jeshi alafu rais apunguziwe mzigo wa kuwa Amiri Jeshi Mkuu akabidhiwe CDF au ateuliwe mwingine (ambaye ni Mwanajeshi) juu ya CDF kuwa Amiri Jeshi Mkuu; ili CDF awe pia Ex-officio kwenye Legislature na Executive (Cabinet).
Hii ni kwasababu pia Jeshi ni taasisi kamili inayojitosheleza kwa kuwa na wataalam katika kila sekta/kada ya utumishi.
Majeshi hayo mengine yabakie kwenye Mhimili wa Executive kwa ajili ya enforcement ya sheria. Ila Rais aendelee kuwa ndiye Mkuu wa nchi.
Nadhani tungeenda vizuri zaidi ya tunavyong'ang'ania perspective ya dunia kwamba Jeshi lazima liwe kwenye Mhimili wa Executive.
Kwa staili hii hata Afrika ingepona na mapinduzi ya kila mara kwasababu hakuna Mhimili wa Jeshi ungeenda kupindua Mhimili mwingine ili kuchukuwa madaraka ya nchi kama ambavyo Legislature na Judiciary haziwezi kukalia nchi.
Natamani Tz tubadilike tuwe na mfumo wetu huru (siyo huu wa kikoloni)
“In politics if you want anything said, ask a man. If you want anything done, ask a woman.”
Mhimili wa nne ungekuwa ni Jeshi, kwa jinsi hiyo Jeshi lingeondoka kwenye siasa 100% kama Judiciary isivyokuwa kwenye siasa 100%. Hivi sasa Jeshi halipo kwenye siasa kinadharia tu.
Bora tukalipa Jeshi hadhi ya Mhimili wa nne kwasababu kwa mfumo uliopo hivi sasa ni kwamba linapopindua serikali kwa mfano, maana yake ni kuwa lina-control executive ambayo pia ni Mhimili wa kisiasa kama ilivyo Legislature kasoro Judiciary, hivyo basi kumbe Jeshi likichukuwa control ya executive kwa mapinduzi basi linakuwa limeingia kwenye siasa.
Ningependekeza Mhimili wa nne uwe ni Jeshi alafu rais apunguziwe mzigo wa kuwa Amiri Jeshi Mkuu akabidhiwe CDF au ateuliwe mwingine (ambaye ni Mwanajeshi) juu ya CDF kuwa Amiri Jeshi Mkuu; ili CDF awe pia Ex-officio kwenye Legislature na Executive (Cabinet).
Hii ni kwasababu pia Jeshi ni taasisi kamili inayojitosheleza kwa kuwa na wataalam katika kila sekta/kada ya utumishi.
Majeshi hayo mengine yabakie kwenye Mhimili wa Executive kwa ajili ya enforcement ya sheria. Ila Rais aendelee kuwa ndiye Mkuu wa nchi.
Nadhani tungeenda vizuri zaidi ya tunavyong'ang'ania perspective ya dunia kwamba Jeshi lazima liwe kwenye Mhimili wa Executive.
Kwa staili hii hata Afrika ingepona na mapinduzi ya kila mara kwasababu hakuna Mhimili wa Jeshi ungeenda kupindua Mhimili mwingine ili kuchukuwa madaraka ya nchi kama ambavyo Legislature na Judiciary haziwezi kukalia nchi.
Natamani Tz tubadilike tuwe na mfumo wetu huru (siyo huu wa kikoloni)
“In politics if you want anything said, ask a man. If you want anything done, ask a woman.”