TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mauzo ni madogo sana mtu kumudu ule mzigo wa kuendesha VATmaana yake wafanyabiashara wenye mauzo ya 550,000 kwa siku wajiandikishe kwa VAT
Asante kwa swali zuri. Ndiyo mfanyabiashara mwenye kuuza bidhaa au huduma zinazotozwa VAT na kiwango chake cha mauzo kwa mwaka hakifiki milioni 200 huyu hatosajiliwa tena na hastahili kuwa na VRN tena.Mkuu, maana yake ni kwamba kile kigezo cha BIASHARA kusajiriwa na VAT yani VRN sasa Mauzo yawe ya 200 Million na sio 100 Million tena ?