Mabadiliko ya Kiwango cha Usajili wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)

Mabadiliko ya Kiwango cha Usajili wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)

TRA Tanzania

Senior Member
Joined
Jul 16, 2022
Posts
128
Reaction score
370
VAT IN KISWAHILI.jpg
VAT IN ENGLISH.jpg
 
Mkuu, maana yake ni kwamba kile kigezo cha BIASHARA kusajiriwa na VAT yani VRN sasa Mauzo yawe ya 200 Million na sio 100 Million tena ?
 
kama tupo serious kweli, haya mambo ya VAT yabaki bandarini na viwandani tu.

 
Mkuu, maana yake ni kwamba kile kigezo cha BIASHARA kusajiriwa na VAT yani VRN sasa Mauzo yawe ya 200 Million na sio 100 Million tena ?
Asante kwa swali zuri. Ndiyo mfanyabiashara mwenye kuuza bidhaa au huduma zinazotozwa VAT na kiwango chake cha mauzo kwa mwaka hakifiki milioni 200 huyu hatosajiliwa tena na hastahili kuwa na VRN tena.
 
Back
Top Bottom