Sijui hili taifa linaelekea wapi.. Kila kitu
kinaendeshwa kisiasa!. Basi hadi elimu jamani??
Wakubwa katika wizara husika nahisi
hawawajibiki kivitendo hasa katika kuiboresha
elemu ila wapo bize katika kutunga
sera!.. Hii sio njia ya kupunguza idadi ya fails katika taifa, badala yake italeta wataalam wabovu na ambao hawana sifa. #This_is_Tanzania_for_Tanzanians .
kinaendeshwa kisiasa!. Basi hadi elimu jamani??
Wakubwa katika wizara husika nahisi
hawawajibiki kivitendo hasa katika kuiboresha
elemu ila wapo bize katika kutunga
sera!.. Hii sio njia ya kupunguza idadi ya fails katika taifa, badala yake italeta wataalam wabovu na ambao hawana sifa. #This_is_Tanzania_for_Tanzanians .