Kwangu notifications zenyewe hazikuji,😂😂😂 mbombo ng’afu..
Me zinakuja.. ila mambo magumuKwangu notifications zenyewe hazikuji,
Kwa mimi ninayetumia chrome naona comments mbili zinajaza screen maandishi makubwa mno , naona bora nitumie Freebasic app kidogo naenjoy ..Maandishi manene mno hayana mvuto japo layout yake ni nzuri kidogo
Utazoea..mbona 'kicheko😂' 'nzuri😍' na 'masikitiko🙁' umezoea?Uwiii
Ndio naupata now muonekano mpya… hakii sijapendezwa!!
Maybe baadae sana nikiuzoea.. font kubwa.. mambo tafrani yan
Vijana acheni uhuni msitake kuanzisha vuguvugu la uasi , Melo piga Kazi mabadiliko muhimu..Turudisheni tulikotoka
Kitufe cha ku dislike please
Hahahahah, we jamaaa bhanaaa..., eti urahisi wa kufichua mambo mazito 😂😂😂😂, unapeeeenda watu wafichue mambo au sio? 🤣🤣🤣🤣 daaaaahChanges on the new version:
1) Kuna urahisi wa kufichua mambo mazito bila data zako zozote kuchukuliwa na bila post kwenda public kwanza (utaona button ya Fichua Uovu). Hii itasaidia hata wasio wanachama (baadae) kushiriki kikamilifu kupinga ufisadi na rushwa kwa ujumla.
2) Faragha ya mwanachama imelindwa zaidi, hakuna wa kujua wewe ni nani on JF bila wewe kumpa access ya kifaa chako (simu, tablet au pc). Tulipata vilio vya watu kuchunguliwa IDs tukaja na suluhu.
3) Unaweza kuchagua kutumia JF ikiwa light version, dark mode au dark blue mode (my favorite).
4) Maandishi ya sasa yanasomeka kirahisi zaidi na wenzetu wenye uoni hafifu. Wasioona kabisa lakini wana vifaa vya kusomea wataweza kuitumia JF kwa urahisi zaidi.
5) Soon kuna mambo mapya yanaanza kufanyika via JF, mabadiliko haya yamelenga kupokea yajayo kuanzia mwezi huu na kuendelea.
6) Ukiwa kwenye forum yoyote, huhitaji kubonyeza Page 2, Page 3, Page 4. Wewe vuta kwenda chini tu, mada zitakuja (scroll down).
Nitaendelea…
Hii ni changamoto aisee, Mi mwenyewe natumia browser nimeona trendings tu bila forums. Kuna majukwaa huwa napenda kuanza nayo au kuingia mara kwa mara.Nimeona home ni trending threads na inanipa ugumu wa kwenda kwenye forum niipendayo.
Kwa wale ambao tunajitafutiaga taarifa kulingana na mood zetu unatusaidiaje.
Sijui kama sijaimaster ila nikijaribu kwenda labda jokes/chitchat au jukwaa la hoja mchanganyiko nashindwa kwenda mojakwa moja. Kwa sasa natumia historia ya browser kufika
Natumia browser sio app nifuate hatua zipi kwenda jukwaa pendwa?
next page inakera kwakweli tuliishaachana na haya mambo tokea jf ya ndroid 6 huko.Ku scrow kwingi mno na maandishi mengi mno
Nashauri iwekwe SHORTCUT ya "NEW POSTS"Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
===== UPDATES======
Changes on the new version:
1) Kuna urahisi wa kufichua mambo mazito bila data zako zozote kuchukuliwa na bila post kwenda public kwanza (utaona button ya Fichua Uovu). Hii itasaidia hata wasio wanachama (baadae) kushiriki kikamilifu kupinga ufisadi na rushwa kwa ujumla.
2) Faragha ya mwanachama imelindwa zaidi, hakuna wa kujua wewe ni nani on JF bila wewe kumpa access ya kifaa chako (simu, tablet au pc). Tulipata vilio vya watu kuchunguliwa IDs tukaja na suluhu.
3) Unaweza kuchagua kutumia JF ikiwa light version, dark mode au dark blue mode (my favorite).
4) Maandishi ya sasa yanasomeka kirahisi zaidi na wenzetu wenye uoni hafifu. Wasioona kabisa lakini wana vifaa vya kusomea wataweza kuitumia JF kwa urahisi zaidi.
5) Soon kuna mambo mapya yanaanza kufanyika via JF, mabadiliko haya yamelenga kupokea yajayo kuanzia mwezi huu na kuendelea.
6) Ukiwa kwenye forum yoyote, huhitaji kubonyeza Page 2, Page 3, Page 4. Wewe vuta kwenda chini tu, mada zitakuja (scroll down).
Nitaendelea…
Hapo tatizo liko wapi ?Humu hawezi kila mtu akataka lake lisikilizwe but hii sasa hapana wakuu, nilikuwa naperuzi ghafla imekuwa hivi,View attachment 2247831bora ibaki kama mwanzo aisee mwanzo ilikuwa bomba sanaView attachment 2247832View attachment 2247835