Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

binadamu my dear,sasa niumie kisa ndoa,akitaka kuchepuka huwezi mzuia hata kama utado na blood inatoka,ndoa si utumwa,tena alikuwa ananihurumia Sana,juu aliona vile niliumia.kumletea mtoto si kitu cha mchezo na nashukuru anathamini Hilo.
Ila kidonda gani kinachukua mwaka mzima kupona??? Kikipona si uko okay kuendelea na mengine au ndo mpaka umalize huo mwaka?
 
Umepanuka kea sentimita ngap?!



Wanawake mna tabu sana
 
binadamu my dear,sasa niumie kisa ndoa,akitaka kuchepuka huwezi mzuia hata kama utado na blood inatoka,ndoa si utumwa,tena alikuwa ananihurumia Sana,juu aliona vile niliumia.kumletea mtoto si kitu cha mchezo na nashukuru anathamini Hilo.
Mmh yani miezi yote hiyo hapajapona?
 
Na Mimi naongeza swali . Inachukua mda gani jeraha kupona baada ya kujifungua
After 40 days unaruhusiwa kushiriki tendo ingawa unaweza pona less than huo muda pia
 
Tehe tehe tehe
Naona umejenga kibanda kwny huu uzi kila baada ya comment 5 upo


Unachukua ujuzi mapemaaa.


Ila uchi ukiwa mpana sana nayo ni kero ukiwa unapiga mambo watu wanaweza kusema unafulia chumbani kumbe mwenzio ana mtera
 
Mpotezee huyo kiumbe omba pesa za matumizi nyingi bila huruma kama kuna mambo ya familia kama ujenzi na nk sisitiza Hayo kwa upole wa hAli ya juu .. kingine usimfutilie mpotezee halafu fanya majukumu yako kama mke endelea na zoezi
 
Mpotezee huyo kiumbe omba pesa za matumizi nyingi bila huruma kama kuna mambo ya familia kama ujenzi na nk sisitiza Hayo kwa upole wa hAli ya juu .. kingine usimfutilie mpotezee halafu fanya majukumu yako kama mke endelea na zoezi
Wewe mama unatutoa nje ya mada
 
haaa.. yani unanitukana aisee mods pigeni ban huyu kavunja sheria
Msamehe huyu mwone kama mbwa anaekula jalalani.
Ushauri
Mwone Dr. Au nisms nikuunganishe na Dr wa Mke wangu
 
Umesema nyuzi ngapi? unamanisha walimaliza nyuzi sita wakushona msamba?
Nyuzi sita ndio maana nilichanwa Mara mbili,Mara ya kwanza walikosea walikua ni manesi nahisi ni wale wa field, wakamwita doctor haraka maana hali ilikua tete
 
Miezi ya mwanzo nilikuwa nikiinama kudeki au kutandika kitanda nasikia hewa inapita jamani... Wanawake wenzangu huwa mnapaweka nini?
Jamii Forum raha sana, Maxence Melo Mubyazi ukianza kuuza hisa, tutanunuaa sana maana, tokea jana nipo hewani Jamii Forum nakula shule. Nadhani hata server ya Marekani washaona huu mtandao upo poa sana.
Mpaka Wakenya na wenyewe wameiga kila kitu kutoka kwa jamii forum
 
Jamii Forum raha sana, Maxence Melo Mubyazi ukianza kuuza hisa, tutanunuaa sana maana, tokea jana nipo hewani Jamii Forum nakula shule. Nadhani hata server ya Marekani washaona huu mtandao upo poa sana.
Mpaka Wakenya na wenyewe wameiga kila kitu kutoka kwa jamii forum
A see bonge LA idea! Jamaa waende IPO tununue tu hisa hamna namna
 
Miezi ya mwanzo nilikuwa nikiinama kudeki au kutandika kitanda nasikia hewa inapita jamani... Wanawake wenzangu huwa mnapaweka nini?
Shikamoo mwanamke [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Usisikilize kila neno,kwa akili ya kawaida tu mwanamke unaanzaje kukaa mwaka bila ngono na unaishi na mwenza wako?Kitabibu ngono huweza kuresume kuanzia week ya nne mpaka ya sita kama mtu amepona sawa sawa(hasa wa upasuaji)
kwa wengine maybe miezi miwili mpaka minne.Hii huzingatia pia mambo mengine kama afya ya mama,hali ya asili ya kimaumbile n.k.Hivi ndani ya huo mwaka huyo mama anakuwa anajichua au??
Duh kumbe haya fanya hivyo
 
Back
Top Bottom