Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
Kwa wale wapenzi wa Mitandao Kama Facebook na Hi5 kwa siku za karibuni
watakuwa wameona mabadiliko Fulani kwenye hatua za kuingia kwenye
account zao haswa wakiwa maeneo mapya .
Mfano mimi nilipokuwa safari nilipata wakati mgumu sana kuweza kuingia
kwenye mtandao wangu wa facebook kwa ajili ya kujadili taarifa Fulani
kwa sababu mtandao huo uligundua ninataka kufungua account toka eneo
ambalo sijazoeleka nikatakiwa kujibu maswali kama 5 hivi ili
kudhibitisha anuani yangu hiyo
Ilikuwa bahati mbaya sana nilitakiwa kuchagua picha za marafiki zangu
4 tatizo ni kwamba rafiki zangu hao walitumia picha ambazo sio zao
lakini majina ni halisi nikapata wakati mgumu kuweza kupata maswali
hayo kutokana na mvurugano wa picha ambazo sio za kweli .
Hili ni tukio moja kati ya mengi ambayo kwa siku za karibuni
yanabadilisha kabisa mtindao wa wizi na aina nyingi za kuhalifu ambazo
wahalafu wengi haswa wale wa nchi maskini walizoea kuiba au kujaribu
kuingilia account za watu kwa kutumia njia za kuotea password au hata
kujibu maswali mengine kwa usahihi .
Hiyo ni hatua kubwa sana kwa mtandao wa facebook , ukija kwenye
mitandao kama google nayo imebadilisha kidogo sheria zake na taratibu
zake zinazohusu masuala binafsi ya watu nayo inaelekea huko kama
facebook lakini google wanaenda mbali zaidi wanataka wateja wao walio
sehemu mbalimbali duniani waweze kutumia simu zao za mikono kuweza
kutumia bidhaa Fulani kwa bei nafuu kwa njia ya mtandao hata kununua
na kufanya aina nyingine za burudani .
Mfano unapotumia mtandao wa google unaweza kujiunganisha na mitandao
mingine kutumia huduma zao kadhaa kama zile za blogu , wana zile simu
zao , wana huduma kama google earth , huduma za kutafuta vitu na
kufanya vitu kwa njia ya mtandao na vyote hivi vinaweza kufanyika
ukiwa na simu ya mkononi tu .
Ndio maana ukienda baadhi ya maeneo jijini dare s salaam kuna vijana
wengi wenye simu hizi nyingi zinaibiwa afrika kusini na kuja kuuzwa
hapa nchini na wahalifu , mafundi na wadau wengine wanawasaidia kufuta
baadhi ya vitu ili waweze kupata access kuweza kutumia huduma kadhaa
za simu hizo lakini wengi huwa wanajisau kwamba simu hizo zinaweza
kufuatiliwa zinaweza kujulikana pale zilipo na kuonekana zinafanya
nini kutokana na hizo huduma zake zingine hata kama kukifanyika
majaribio ya kufuta .
Simu hizo zimekamatisha wengi mjini hapa na wengi wamejuta kwanini
waliamua kununua simu hizo kwa njia za magendo na kuamua kufuta baadhi
ya vitu kwenye simu ili ziweze kufanya kazi hata wewe kama una simu
ambayo una mashaka nayo tafadhali toa taarifa ili maafa yasije
kukukuta wewe kwa sababu njia ni rahisi sana .
Lakini aina za technologia hizo sio za kujivunia sana sometimes kwa
sababu niliona moja ina email address moja , kijana Yule akajaribu
kubadilisha password ya email ili aweze kutumia simu hiyo sijui
aliishia wapi ina maana kama alikuwa na uwezo wa kubadilisha pwd ya
email angeweza kuingia kwenye huduma zingine za simu hizo na hata
kuhamisha taarifa muhimu za mwenye simu .
Hili ni funzo kwa wale wanaopenda kutegemea simu zao kuhifadhi kila
kitu na haswa kutumia anuani pepe zao kama alama zao kuu katikaulinzi
wa vifaa vyao hivyo
Naomba niishie hapa
watakuwa wameona mabadiliko Fulani kwenye hatua za kuingia kwenye
account zao haswa wakiwa maeneo mapya .
Mfano mimi nilipokuwa safari nilipata wakati mgumu sana kuweza kuingia
kwenye mtandao wangu wa facebook kwa ajili ya kujadili taarifa Fulani
kwa sababu mtandao huo uligundua ninataka kufungua account toka eneo
ambalo sijazoeleka nikatakiwa kujibu maswali kama 5 hivi ili
kudhibitisha anuani yangu hiyo
Ilikuwa bahati mbaya sana nilitakiwa kuchagua picha za marafiki zangu
4 tatizo ni kwamba rafiki zangu hao walitumia picha ambazo sio zao
lakini majina ni halisi nikapata wakati mgumu kuweza kupata maswali
hayo kutokana na mvurugano wa picha ambazo sio za kweli .
Hili ni tukio moja kati ya mengi ambayo kwa siku za karibuni
yanabadilisha kabisa mtindao wa wizi na aina nyingi za kuhalifu ambazo
wahalafu wengi haswa wale wa nchi maskini walizoea kuiba au kujaribu
kuingilia account za watu kwa kutumia njia za kuotea password au hata
kujibu maswali mengine kwa usahihi .
Hiyo ni hatua kubwa sana kwa mtandao wa facebook , ukija kwenye
mitandao kama google nayo imebadilisha kidogo sheria zake na taratibu
zake zinazohusu masuala binafsi ya watu nayo inaelekea huko kama
facebook lakini google wanaenda mbali zaidi wanataka wateja wao walio
sehemu mbalimbali duniani waweze kutumia simu zao za mikono kuweza
kutumia bidhaa Fulani kwa bei nafuu kwa njia ya mtandao hata kununua
na kufanya aina nyingine za burudani .
Mfano unapotumia mtandao wa google unaweza kujiunganisha na mitandao
mingine kutumia huduma zao kadhaa kama zile za blogu , wana zile simu
zao , wana huduma kama google earth , huduma za kutafuta vitu na
kufanya vitu kwa njia ya mtandao na vyote hivi vinaweza kufanyika
ukiwa na simu ya mkononi tu .
Ndio maana ukienda baadhi ya maeneo jijini dare s salaam kuna vijana
wengi wenye simu hizi nyingi zinaibiwa afrika kusini na kuja kuuzwa
hapa nchini na wahalifu , mafundi na wadau wengine wanawasaidia kufuta
baadhi ya vitu ili waweze kupata access kuweza kutumia huduma kadhaa
za simu hizo lakini wengi huwa wanajisau kwamba simu hizo zinaweza
kufuatiliwa zinaweza kujulikana pale zilipo na kuonekana zinafanya
nini kutokana na hizo huduma zake zingine hata kama kukifanyika
majaribio ya kufuta .
Simu hizo zimekamatisha wengi mjini hapa na wengi wamejuta kwanini
waliamua kununua simu hizo kwa njia za magendo na kuamua kufuta baadhi
ya vitu kwenye simu ili ziweze kufanya kazi hata wewe kama una simu
ambayo una mashaka nayo tafadhali toa taarifa ili maafa yasije
kukukuta wewe kwa sababu njia ni rahisi sana .
Lakini aina za technologia hizo sio za kujivunia sana sometimes kwa
sababu niliona moja ina email address moja , kijana Yule akajaribu
kubadilisha password ya email ili aweze kutumia simu hiyo sijui
aliishia wapi ina maana kama alikuwa na uwezo wa kubadilisha pwd ya
email angeweza kuingia kwenye huduma zingine za simu hizo na hata
kuhamisha taarifa muhimu za mwenye simu .
Hili ni funzo kwa wale wanaopenda kutegemea simu zao kuhifadhi kila
kitu na haswa kutumia anuani pepe zao kama alama zao kuu katikaulinzi
wa vifaa vyao hivyo
Naomba niishie hapa