Mabadiliko ya vifurushi: TTCL MB 1 kuuzwa kwa Tsh 2.50

Mabadiliko ya vifurushi: TTCL MB 1 kuuzwa kwa Tsh 2.50

nanunua 1.5 GB kwa 3000 Voda, yaleyale tu
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

For more information
Please check me [emoji338]0743326684
 
Tunaisoma kifo cha mende chali
Hamia kwenye unlimited bandles
VODACOM BUSINESS HOME USERS &OFFICE

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
20 LTE 20Mbps 115,000/=Tu kila mwezi

Supa kasi Internet Unlimited bundle
Free Router+Antenna. (Wireless Router)
30 LTE 30Mbps 165,000/=Tu kila mwezi

For more information
Please check me [emoji338]0743326684
 
Hadi aibu, yani wanashindwa hadi na voda na tigo 😂😂😂
Watajikuta wamebaki na wateja wao wa taasisi tu
 
Mambo ni byuti byuti huko kwenye maasiliano.

Sasa MB 1 ni Tsh 2.50 kutoka 1.50 na hiyo ni TTCL tu sijui huko kwingine
Kabla ya jana ulikuwa ukilipa Tsh 5,000/= unapata GB 3.6 kwa Mwezi na sasa unapata GB 2.2 kwa Bei hiyo hiyo.

Natafuta tu sasa Jalala zuri la Kuitupa hii Simu yangu ili nikae tu sasa bila Simu kwani tunakoelekea sasa Watanzania ni Kukomoana badala ya Kujaliana kwa Huduma Nafuu na Rafiki.
 
Hadi aibu, yani wanashindwa hadi na voda na tigo 😂😂😂
Watajikuta wamebaki na wateja wao wa taasisi tu
Alfajiri nikiamka na kwenda Haja Kubwa ( Kupupu ) kabla ya Kuflashi Mzigo Uende nitaitupia pia na Line yangu ya TTCL ili nayo ipotee mazima na nitabaki tu sasa na Line yangu pendwa na ya miaka mingi ya Airtel ambayo hata Rangi yake tu Nyekundu na Nyeupe nazipenda kwakuwa zinawakilisha Rangi ya Timu yangu pendwa kabisa nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom