Umewatoa watu mapovu kwa tetesi zilizotengenezwa kichwani mwako mwenyewe.Salaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Anayetrend kwasasa ni Dr. Shika! Wengine drama zao zishazoeleka kiasi kwamba you can predictSalaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
SijakusomaSalaam wana jamvi!
Mabadiliko ya MaDC sasa yameiva na ndani ya wiki kuanzia J3 hii itatolewa orodha mpya ya majina.
Wakuu wa Wilaya wengi wameachwa huku sura mpya zikiingia.
Kazi ni moja tu One Product, One District katika dhana nzima ya viwanda.
Kaa tayari hapa kupokea mabadiliko hayo.... View attachment 629838
Kwakweli..taarifa za reshuffle ilikua miezi mitatu ya 2018! Hii sasa mpya!Umewatoa watu mapovu kwa tetesi zilizotengenezwa kichwani mwako mwenyewe.
Mkulu mwenyewe hajui kuficha siri. Analoliwaza analizungumza kwa nguvu.Mm si ilisemwa utawala huu hamna leaks
Jerry Muro, Benson Bana na CheyoJamani wafuatao wateuliwe
Prof.Lipumba
Mwigamba
MPENDAZOE
Machali
Nafasi za DC hazina tijaKwanini katika madiliko hayo wasiwe ni wakurugenzi?
Ma-dc wanahusikaje na hayo maviwanda?