Mwisho jelo mkuuHairuhusiwi mwanachama yoyote kuonga chini ya mia nane[800]
Makao makuu UWABATA,
Geita-Chattle.
Kwa mujibu wa katiba mpya kifungu cha nne ibara ndogo ya tatu mkuuMwisho jelo mkuu
Duuuu kuna hela naisikilizia, nikipata nitahonga hiyo 800Kwa mujibu wa katiba mpya kifungu cha nne ibara ndogo ya tatu mkuu
hahahahaah vijana bana anyway kuna mchongo flani hivi ukitiki nitarudi kuchangia chochoteKwa mujibu wa katiba mpya kifungu cha nne ibara ndogo ya tatu mkuu