Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,301
- 1,788
Wakuu kuna kikao cha Dharura hapa nimekiitisha sisi kama wanaume bahili Tanzania tumeshtushwa Sana na hizi taarifa za ujio wa hiki chama tena kuja kwa Kasi ni hatari kwa chama chetu
Nia na dhumuni ni namna ya kudeal na kukififisha hiki cha cha , UMOJA WA PISI KALI TANZANIA .huku wakiwa na MOTTO, TUMA NA YAKUTOLEA
Mm kama C.E.O nimeunda team ya watu saba ipo mtaani kufuatilia kwa ukaribu taarifa juu ya hiki chama . Pamoja katika kuimarisha chama chetu
Nia na dhumuni ni namna ya kudeal na kukififisha hiki cha cha , UMOJA WA PISI KALI TANZANIA .huku wakiwa na MOTTO, TUMA NA YAKUTOLEA
Mm kama C.E.O nimeunda team ya watu saba ipo mtaani kufuatilia kwa ukaribu taarifa juu ya hiki chama . Pamoja katika kuimarisha chama chetu