Mabahili na tusiopenda kupelekeshwa katika mapenzi wote tukutane hapa

Mkuu unahonga honga ovyo hujiamini, kuonga kote uko bado unatumia tecno.



Na hii ni nini?fimbo za macho tuu pussy wewe niko katika level ya maisha ambayo nina uwezo wa kununua chochote ninachotaka
 
Mimi zangu za mkopo akijifanya anaruka nahonga iPhone zenye iCloud namwambia hiyo ukiflashi fresh unakaa hewani hiyo ni password ya kawaida tuu na hii ni kwa vile visuuuu ila kichwani zero.....hawa wengine huwa tunakopa tu mwanzo mwisho.
Mkuu kuhonga iphone yenye iCloud ni ubaribifu, nitakup mbinu.. Mpya. Iphone ya icloud bado ni pesa ukiuza spares mkuu. Sijapenda kabisa
 
Hhhhahhhaha hiki chama kitapata wafadhili wengi sana.......bora tufadhili hiki chama kuliko kuhonga mwanamke.

Naombeni namba ya uanachama tafadhali.
 


Na hii ni nini?fimbo za macho tuu pussy wewe niko katika level ya maisha ambayo nina uwezo wa kununua chochote ninachotaka
By the way, wewe chunwa tu... Ningelikuona mpumbavu unahonga vyote alafu tambo ni tecno.
 
Umasikini tuu, embu cheki mtoto mkali anacheka na 50K jioni hii, bado kesho tena anapata nyingine

Mtaishia kula mademu wabovu wabovu ambao hata viwanja hamuwezi kwenda nao, wananuka vijasho na chupi zimetoboka
We unahonga....si tunamega kisela[emoji41]
 
Tunamega tuu kisela [emoji1][emoji1][emoji1]demu akiniomba ela najiskia kutapikaaa flaniii iviii
 
Me ndio zangu demu akiwa mizinga mingi naweza ata zimu mpaka achoke
 
Ila ukila umelipia kuna raha yake jamani, watoto wanabinuka na kujikunja kama jongoo alieguswa sharubu.

Lakini vya dezo, utapewa style za ajabu ajabu kama maiti iliyosusiwa na ndugu.
Tunalipa lakini ile stahiki sio kinyume chake
 
Mubashara kabisa
 
kuna bahili anayewaza pussy tu? umebugi man😀
 


Inakuwaje mwanamme unayejitambua unajisahau mpaka unapigwa mzinga na demu? Makosa ni yenu nyie wanaume msiojitambua, usimpe mwanamke nafasi ya kukuomba mzinga na kumuendekeza.....kabla hajapata hiyo hela inabidi ateseke kwanza na kama ana kiburi basi asipewe hata robo ya hiyo pesa. Anakuomba mzinga wewe ni mzazi wake? Acheni kuendekeza wanawake wa dizaini hii, wakiona wanaume wanawakimbia watajirekebisha tu na kugawa bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…